chazy255
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,363
- 1,752
Wakuu habarini tena,
Nataka kujua kwanini ukiaota umekojoa kitandani unaamka umekojoa kweli, wakati huo huo unaota umeokota pesa unaamka empty, umeokota dhahabu unakuta hamna kitu au umeoa kimwana unaamka na shuka tu.
Wajuzi wa ndoto hebu nisaidieni hiki kitendawili.
Nataka kujua kwanini ukiaota umekojoa kitandani unaamka umekojoa kweli, wakati huo huo unaota umeokota pesa unaamka empty, umeokota dhahabu unakuta hamna kitu au umeoa kimwana unaamka na shuka tu.
Wajuzi wa ndoto hebu nisaidieni hiki kitendawili.