Kwanini ukimwi uko kiwango cha juu Africa?

ogm12000

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
304
86
Habari zenu wana JF!

Nimekuwa najiuliza sana kwanini kiwango cha ukimwi kiko juu zaidi africa kuliko nchi zilizoendelea. Inamaana sisi watu weusi ndio tunafanya sana ngono? Vile vile ata USA takwimu zinaonyesha watu wengi walioathirika ni blacks.

Kuna daktari mmoja wa USA ndio anashtumiwa kutengeneza vijidudu vya ukimwi unaweza kupata clips za kwenye youtube [ame]http://www.youtube.com/watch?v=CDxZ7PX8YGI&feature=related[/ame]
. Sifahamu ni kwa kiasi gani suala hili linaukweli. Kama ni kweli jamaa alivitengeneza je aliweka viwe more active kwa watu weusi? Ni baadhi ya maswali nayojiuliza!

Kati watu wanaofanya mapenzi kwa kiwangu kikubwa ni warusi yani wengi hawatumii condom na hali sio mbaya! why kwetu sisi waafrica?
Sex inafanya sana tu ulaya sasa kwanini waafrica wanaathirika zaidi?

Lets discuss about this

Regards
 
Blacks are genetically prone to HIV/ AIDS compared to other groups.

http://motherjones.com/blue-marble/2008/07/african-americans-genetically-prone-hiv-aids

Sidhani kama hii ni sababu ya msingi sana. Ni lazima pia tukubali kwamba we care so less. Wenzetu weupe wapo very systematic na matumizi ya kondomu, halafu ni waaminifu sana kwenye mahusiano yao. Ni nadra sana mtu kumsaliti girlfriend au boyfriend wake. Sisi hatuna kabisa utamaduni wa kuwa waaaminifu. Na hilo halina kipingamizi. unaweza kukuta mtu anafunga ndoa kesho lakini leo yupo na jamaa au binti wa nyumba ya jirani. Yaani shida tupu. Halafu tunafanya hayo bila kondomu. Hii kitu itatumaliza, tutake tusitake.

Ni lazima kwanza tubadilike na tukubali ama kuwa waaminifu au kutumia kondomu kwa uaminifu. Huwezi amini kwamba mwanaume anakwenda na kondom kwa binti anaitoboa kwa makusudi eti kumkomoa binti, kwa kuwa kakomaa kwamba watumie kondom. Huwezijua anayesema mtumie kondom anaweza kuwa ana nia ya kukulinda wewe mwenyewe lakini wewe unadhani unamkomoa. Ni lazima tubadilike waafrika.
 
Sidhani kama hii ni sababu ya msingi sana. Ni lazima pia tukubali kwamba we care so less. Wenzetu weupe wapo very systematic na matumizi ya kondomu, halafu ni waaminifu sana kwenye mahusiano yao. Ni nadra sana mtu kumsaliti girlfriend au boyfriend wake. Sisi hatuna kabisa utamaduni wa kuwa waaaminifu. Na hilo halina kipingamizi. unaweza kukuta mtu anafunga ndoa kesho lakini leo yupo na jamaa au binti wa nyumba ya jirani. Yaani shida tupu. Halafu tunafanya hayo bila kondomu. Hii kitu itatumaliza, tutake tusitake.

Ni lazima kwanza tubadilike na tukubali ama kuwa waaminifu au kutumia kondomu kwa uaminifu. Huwezi amini kwamba mwanaume anakwenda na kondom kwa binti anaitoboa kwa makusudi eti kumkomoa binti, kwa kuwa kakomaa kwamba watumie kondom. Huwezijua anayesema mtumie kondom anaweza kuwa ana nia ya kukulinda wewe mwenyewe lakini wewe unadhani unamkomoa. Ni lazima tubadilike waafrika.

Hogwash,

Unaweza ku publish paper itakayo dispute hiyo science ya genetics inayokwambia the same traits that give blacks advantage on malaria cause them to be prone to HIV?

Mbona unabisha bila data? Unawezaje kusema wazungu wanajali kuvaa ndomu wakati kila siku tunasikia kina John Edwards, the supposedly best minds and all, wanatia aides zao mpaka kuwapa mimba? Edwards alivaa ndomu? Hao swingers wangapi wanavaa ndomu? Wazungu hawajawa na experience ya HIV kama ya Bukoba na kwao wanaona bado ni unreal, na hivyo wanapiga kavu kavu kuliko mnavyotaka kuwapa credit.Jack Nicholson kashasema wazi hatumii ndomu, sasa huyu naye mweusi? Ona hapa alivyosema katika "Rolling Stone"

Mbona mnataka ku generalize mambo?

Kuna wanaoendekeza ngono zembe kote, na unless unaleta reputable study kuonyesha weusi hawatumii ndomu kama wanavyotumia weupe nitakuona una mabaki ya ukoloni na una worship wazungu tu.
 
Sidhani kama hii ni sababu ya msingi sana. Ni lazima pia tukubali kwamba we care so less. Wenzetu weupe wapo very systematic na matumizi ya kondomu, halafu ni waaminifu sana kwenye mahusiano yao. Ni nadra sana mtu kumsaliti girlfriend au boyfriend wake. Sisi hatuna kabisa utamaduni wa kuwa waaaminifu. Na hilo halina kipingamizi. unaweza kukuta mtu anafunga ndoa kesho lakini leo yupo na jamaa au binti wa nyumba ya jirani. Yaani shida tupu. Halafu tunafanya hayo bila kondomu. Hii kitu itatumaliza, tutake tusitake.


Wazungu gani unawazungumzia? Condom hawatumii kama unavyodhani wana tombana kizembe kuliko wabongo, asikudanganye mtu! Jiulize marangapi wa bongo wapo kwenye group sex!? wao ni kawaida kukuta group lenye madem 4 wanaume 7 wanapiga urabu then ngono kama kawa. Uamnifu wao ni pale mtu anapooa, lakini ndo zao ndo kama ujuavyo, mtu mpaka mwisho wa maisha yake, ameoa mara saba- ambayo ni vertical poligamy as opposed to horizontal ya wabongo.

Kunahoja kuwa afya yetu kwa maana ya virutubisho vya misosi ni duni ndo maana aids kwetu inavuma zaidi, maana hata ulaya drug addicts ndo wanarecord ya Aids, hata wale wasiotumia sindano- sababu ni homoni supression kutokana na madawa na lishe duni. Hoja iliyomgombanisha Thabo Mbeki na wazungu aliposema AIDS africa haisababishwi na HIV. wanaokubaliana naye wanasema kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya umasikini na kutapakaa kwa AIDS.

ukweli uko wapi? hatuwezi kujua mara moja
 
hizo ni takwimu tu zao na hawa watu wabaguzi kila kitu weusi wakati kwao wanakufa ukimwi au bagui walakuchagua
 
hawa wajamaa wanalaumiwa kwa kila kitu,hakuna ovu ambalo hawahusishwi nalo, kazi kweli kweli
 
Wakuu msiongopeane hapa.Hili swala tulishalijadili siku za nyuma.Si kweli kwamba wazungu wako resistant kihivyo mnavyoamini.Kuna mambo mengi yanatokea mpaka HIV akapata access ya human cell.
Fuatilieni hii link https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/26811-hiv-resistant-citizens-found-2.html

Kama kuna mtu ana utafiti wake au pingamizi lolote alete hapa na niko tayari kupoteza hata siku nzima kujadiliana nae.

Hiyo link nadhani bado haijaweza kujibu swali la msingi (at least to me!):
Nimekuwa najiuliza sana kwanini kiwango cha ukimwi kiko juu zaidi africa kuliko nchi zilizoendelea.
Unless kama unasema hiyo observation haiko real.
 
Hiyo link nadhani bado haijaweza kujibu swali la msingi (at least to me!):

Unless kama unasema hiyo observation haiko real.


Mkuu nakubali sijajibu swali la msingi bado.Lakini kabla ya kwenda huko nimeona kwanza niondoe hii dhana potofu kwamba rate ya maambukizi ya ukimwi kwa wazungu ni ya chini kwasababu tu inaaminika wana CCR5-delta32 co receptor.
Kwanza tuondoe hii dhana mfu,ndipo hata mwingine akija na sababu nyingine zinazosababisha kuongozeka kwa maambukizi kwa mtu mweusi labda tutaweza kumuelewa kuliko kukimbilia kumuwekea link za hiyo mutant gene.
 
Hogwash,

Unaweza ku publish paper itakayo dispute hiyo science ya genetics inayokwambia the same traits that give blacks advantage on malaria cause them to be prone to HIV?

Mbona unabisha bila data? Unawezaje kusema wazungu wanajali kuvaa ndomu wakati kila siku tunasikia kina John Edwards, the supposedly best minds and all, wanatia aides zao mpaka kuwapa mimba? Edwards alivaa ndomu? Hao swingers wangapi wanavaa ndomu? Wazungu hawajawa na experience ya HIV kama ya Bukoba na kwao wanaona bado ni unreal, na hivyo wanapiga kavu kavu kuliko mnavyotaka kuwapa credit.Jack Nicholson kashasema wazi hatumii ndomu, sasa huyu naye mweusi? Ona hapa alivyosema katika "Rolling Stone"

Mbona mnataka ku generalize mambo?

Kuna wanaoendekeza ngono zembe kote, na unless unaleta reputable study kuonyesha weusi hawatumii ndomu kama wanavyotumia weupe nitakuona una mabaki ya ukoloni na una worship wazungu tu.


Mzee ulichosema ni kweli kabisa. Jamaa nadhani hana data na analeta zile story za vijiweni bongo vya kusema wazungu wako care.. Watu wanawakamua sana huku kavu kavu mpaka group sex watu wanafanya tena bila ndom . Wakienda kupima ngoma hola yani wako poa. Sasa kwa TZ ukifanya group sex au mtungo tena bila ndom utatoka?

Nadhani ile link uliyeituma itakuwa na ukweli fulani. Maana nimekaa vinchi mbalimbali vya ulaya na ukimwi auvisumbui kabisa yani ukitoka na mzungu ni full kujiachia huna wasiwasi na gonjwa.

Kuna uwezekana mkubwa hivi virusi vitengenezwa maabara na hawa wazungu. Wazungu ni washenzi sana na wana underground projects za ajabu ambazo ni vigumu kuzielewa kama si mfuatiliaji wa mambo..
 
Mzee ulichosema ni kweli kabisa. Jamaa nadhani hana data na analeta zile story za vijiweni bongo vya kusema wazungu wako care.. Watu wanawakamua sana huku kavu kavu mpaka group sex watu wanafanya tena bila ndom . Wakienda kupima ngoma hola yani wako poa. Sasa kwa TZ ukifanya group sex au mtungo tena bila ndom utatoka?

Nadhani ile link uliyeituma itakuwa na ukweli fulani. Maana nimekaa vinchi mbalimbali vya ulaya na ukimwi auvisumbui kabisa yani ukitoka na mzungu ni full kujiachia huna wasiwasi na gonjwa.

Kuna uwezekana mkubwa hivi virusi vitengenezwa maabara na hawa wazungu. Wazungu ni washenzi sana na wana underground projects za ajabu ambazo ni vigumu kuzielewa kama si mfuatiliaji wa mambo..

Ingawa nakubaliana nawe kwamba weusi wako prone to HIV genetically, sikubali kwamba hii inatokana na designs za wazungu, tungeshajua for sure, na hizi conspiracy theories zilizopo hazina nguvu.

Naamini hiki ni kitu natural. Vibaya zaidi, hizi trait za genes zinazotufanya tuwe susceptible zaidi kwa HIV, pia zinatufanya tuishi muda mrefu baada ya kupata HIV, jambo linalochangia kuendeleza maambukizi zaidi. Hususan kwa sababu kwetu hali ya afya ni mbaya na watu hawataki kupima, mtu akijiona kitambi kikubwa anajua mie sina, kumbe vinaogelea humo humo.

Wenzetu wakiukwaa ni rahisi kujitambua, na toka hapo wanajikita katika ndonge kwa sana.
 
Ingawa nakubaliana nawe kwamba weusi wako prone to HIV genetically, sikubali kwamba hii inatokana na designs za wazungu, tungeshajua for sure, na hizi conspiracy theories zilizopo hazina nguvu.

Kama hili unalikubali kwa nini la Miafrika Ndivyo Tulivyo unalikataa?

Naamini hiki ni kitu natural..

Nini kinachofanya kiwe "natural"?
 
Kama hili unalikubali kwa nini la Miafrika Ndivyo Tulivyo unalikataa?



Nini kinachofanya kiwe "natural"?

Hili ni swala la kibaiolojia lililo na ushahidi katika genetics, hayo mambo ya umasikini wa muafrika kutokana na "ndivyo tulivyo" huwezi kupata ushahidi wa genetics, ni mambo ya historia, siasa, mazingira etc.
 
Hili ni swala la kibaiolojia lililo na ushahidi katika genetics, hayo mambo ya umasikini wa muafrika kutokana na "ndivyo tulivyo" huwezi kupata ushahidi wa genetics, ni mambo ya historia, siasa, mazingira etc.

Kwa sababu ni suala lisilo sahihi kisiasa ndio maana itakuwa ngumu kupata ushahidi wa kisayansi lakini sina shaka kabisa kuwa lina ushahidi wa kisayansi.
 
Mi nafikiri ukimwi unakuwa kwa kiwango kikubwa Africa ni kwasababu ya kuwa na elimu duni ya ukimwi. Wengi wao huamini ukimwi unasababishwa na majimaji ya uzazi yaani Shahawa, watu wa aina hii unakuta wanafanya ngono bila kinga kwa mantiki ya kwamba ilimradi mwanaume atakapokuwa anafika kileleni asifikie ndani ya mwanamke..Asilimia kubwa ya watu wetu wanaamini hivyo. Pia inawezekana vyombo vyetu vinavyopambana na ukimwi vinafikisha ujumbe wa ukimwi wrong..kwa mfano unakuta tangazo la Tv linasema "UKIMWI UNAUA TUMIA KONDOMU" Sidhani ujumbe kama huo utapokewa na mlengwa ipasavyo na badala yake wangekuwa wanaelimisha ukimwi ni nini na sio unaua kwakua sidhani kama kuna mtu hajui kama ukimwi unaua..hii inasikitisha sana.

Pia Si kweli kwamba nchi zilizoendelea hazina wagonjwa wengi wa ugonjwa huu, watu wa huko wanapata elimu ya kiundani zaidi kuhusu ugunjwa huu na imefikia wakati kwamba hawauogopi kabisa wanaona ni kitu cha kawaida kwakuwa hawaamini kwamba virusi vya HIV vinaua..Nnaweza nikawasuppot kwahilo, kivipi? Nchi za wenzetu zilizoendelea wameugawa ugonjwa huu katika makudi mawili yani HIV na AIDS. HIV ni virusi ambavyo vinakupata na baada ya muda vinakuwa AIDS. kwahiyo wao wanachokipigania na kukiogopa zaidi ni AIDS. Mfano ulio hai watu weupe unakuta wanaenda Sex holidays nchi mbalimbali za Asia na hata Africa na wanafanya ngono zisizo salama wakiwa huko na wengi wao wanaokutana nao huko ni Malaya, Watu hawa pindi watakapotia mguu kwao kitu cha kwanza ni kwenda kujicheck afya zao na kuangalia kama wako salama au la. Na kama hawako salama basi wanaamini sio doa kubwa sana katika maisha yao kwakuwa wataweza kuvidhibiti virusi hiyo kirahisi kabla havijawa AIDS, na ndiyo maana unakuta wanaishi maisha yao yote kama walivyostahili kuishi ingawa wameathirika. lakini tatizo letu kubwa ni woga wa kujua Afya zetu mara kwa mara au mapema na matokeo yake unakuja kujigundua too late wakati umeshapata Aids ambapo inakua ngumu kuvidhibiti na mwisho wake ni kifo.

Statistics za ulimwengu inaangalia sana AIDS na si HIV ndiyo maana tunakuta Afrika tunaongoza kwa suala hilo kwakuwa na elimu Duni na kujikuta waathirika wengi ni waathirika wa AIDS.

#Ningezishauri Serikali na vyombo vya kupambana na Majanga ya ukimwi barani kwetu watilie mkazo zaidi kuelimisha ukimwi ni nini kuliko kupoteza hela kwa kuelimisha kitu ambacho kila mtu anakijua kwa kutumia maneno ya vitisho katika kupambana na janga hili kwa mfano UKIMWI UNAUA,UKIMWI NI KIFO nk...

NGONO SALAMA, KWA MAISHA BORA ZAIDI......

Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Africa.


 
Back
Top Bottom