Kwanini ukimpenda mdada kabla ya yeye kukupenda anakunyanyasa

aisee pole sana,nani alikwambia wanawake hua wanawapenda wanaume,wanawake woote ni wasanii tu,mimi nilishaacha kupenda,na usipowapenda utawala sana ,wanawake hawatakiwai kupendwa utaumia sana ndugu yangu mwanamme mwenzangu,wewe mtokee akizingua mwambie poa tusijuane na mawasiliano kata kabisa,nenda kwa mwingine ila wakati unawatokea usionyeshe kuwa umezimika kinoma,mambo ya i love u sana achana nayo usiwe kama wahindi mpaka wakimbizane kwenye maua.
fuata kanuni hii
fff[find,https://jamii.app/JFUserGuide and forget]
 
aisee pole sana,nani alikwambia wanawake hua wanawapenda wanaume,wanawake woote ni wasanii tu,mimi nilishaacha kupenda,na usipowapenda utawala sana ,wanawake hawatakiwai kupendwa utaumia sana ndugu yangu mwanamme mwenzangu,wewe mtokee akizingua mwambie poa tusijuane na mawasiliano kata kabisa,nenda kwa mwingine ila wakati unawatokea usionyeshe kuwa umezimika kinoma,mambo ya i love u sana achana nayo usiwe kama wahindi mpaka wakimbizane kwenye maua.
fuata kanuni hii
fff[find,**** and forget]
Miaka ijayo sijui tutakuwa na kizazi cha aina gani ikiwa hawa ndio wazazi.
 
espy,
sikiliza long time kitambo nilikua nawafagilia ana nyie,lakini baada ya kukutana na watu kama nyie,what they did o me, nawaona kama shetani tu mwenye mguu mmoja,its better nipige maji ya ilala tu,kulko kudeal na nyie,tena hata nikikuta dem anabakwa nawaambia tu wabakaji nyie endeleeni tu kwa rara zenu tu,
mnazingua sana nyie aisee
 
Swala hili limewatokea wengi, unampenda mdada, unamuomba awe girlfriend au muwe kwenye mahusiano, sasa ikitokea yeye alikuwa anakupenda ila alishindwa kukueleza hapo sawa mtakaa sawa ila kama hajwahi kukuona na hajakupenda basi kinachofuata ni yeye kutumia nafasi hiyo vizuriii kwa kukuomba hela na mengineyo kama njia moja wapo kupima uzima wa mfuko wako au kuamua kukukimbiza au achote kwanza mpunga na ajue kama uko imara ndio labda akubali. Anapokwambia umpe mpunga basi mwanaume unahangaika sana,utafanya juu chini ili apata anachotaka.
Nauliza kina dada kwanini mnatunyanyasa.

View attachment 1004632
asikudanganye mtu, mwanamke ni sasa na mwezi, na sis wanaume ni sawa na jua, mwezi huaksi muangaza kutoka kwa jua, mwanamke yeyote yule anaambukizwa upendo, walio wahi kusugua ndara naamin wataniunga mkono kwa hakika..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swala hili limewatokea wengi, unampenda mdada, unamuomba awe girlfriend au muwe kwenye mahusiano, sasa ikitokea yeye alikuwa anakupenda ila alishindwa kukueleza hapo sawa mtakaa sawa ila kama hajwahi kukuona na hajakupenda basi kinachofuata ni yeye kutumia nafasi hiyo vizuriii kwa kukuomba hela na mengineyo kama njia moja wapo kupima uzima wa mfuko wako au kuamua kukukimbiza au achote kwanza mpunga na ajue kama uko imara ndio labda akubali. Anapokwambia umpe mpunga basi mwanaume unahangaika sana,utafanya juu chini ili apata anachotaka.
Nauliza kina dada kwanini mnatunyanyasa.

View attachment 1004632
Hao wenye kutaka kuchota mahela kwako huwa unakutana na wafanyabiashara wa mili yao, mtu mwenye akili timamu na anayejithamini anayetamani penzi la dhati hawezi kukupima kwa kukuomba heraaa
 
Swala hili limewatokea wengi, unampenda mdada, unamuomba awe girlfriend au muwe kwenye mahusiano, sasa ikitokea yeye alikuwa anakupenda ila alishindwa kukueleza hapo sawa mtakaa sawa ila kama hajwahi kukuona na hajakupenda basi kinachofuata ni yeye kutumia nafasi hiyo vizuriii kwa kukuomba hela na mengineyo kama njia moja wapo kupima uzima wa mfuko wako au kuamua kukukimbiza au achote kwanza mpunga na ajue kama uko imara ndio labda akubali. Anapokwambia umpe mpunga basi mwanaume unahangaika sana,utafanya juu chini ili apata anachotaka.
Nauliza kina dada kwanini mnatunyanyasa.

View attachment 1004632
NO MATTER WHAT

"MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom