Natumai hamjambo wakuu.
Miongoni mwa mambo yanayotufanyaga wanaume tuzione safari ni nyepesi hata kama tuendako ni mbali ni kukaa karibu na mtoto wa kike, binafsi nikisafiri hua napenda nibahatike kukaa na mtoto wa kike ili safari iwe nyepesi.
Mara zote niwapo safarini nikaketi na mtoto wa kike lazima nimtongoze na kuna baadhi nimebahatika kuwagegeda, sasa nachojiulizaga kwa nini ni ngumu sana kujizuia kumtongoza mdada ukikaa nae karibu safarini?
Karibuni wajumbe mtoe hukumu ya jambo hili.
Miongoni mwa mambo yanayotufanyaga wanaume tuzione safari ni nyepesi hata kama tuendako ni mbali ni kukaa karibu na mtoto wa kike, binafsi nikisafiri hua napenda nibahatike kukaa na mtoto wa kike ili safari iwe nyepesi.
Mara zote niwapo safarini nikaketi na mtoto wa kike lazima nimtongoze na kuna baadhi nimebahatika kuwagegeda, sasa nachojiulizaga kwa nini ni ngumu sana kujizuia kumtongoza mdada ukikaa nae karibu safarini?
Karibuni wajumbe mtoe hukumu ya jambo hili.