SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,616
- 925
Nimesikiliza taarifa ya habari kupitia kituo cha ITV leo saa mbili, kuwa jeshi la polisi limezuia mikutano ya UKAWA ndani ya mkoa wa Kigoma kwa muda wa siku tatu sasa. Anayejua nini kilichopo nyuma ya pazia atujuze tafadhali.