SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,342
Kuna Msiba wa Mkristo aliyewahi kupiga chafya?Kwenye kuzuka ndo nachoka mana mda mwingine MTU anaweza piga chafya lakini kabla hajapiga chafya kashazikwa
Kuna Msiba wa Mkristo aliyewahi kupiga chafya?Kwenye kuzuka ndo nachoka mana mda mwingine MTU anaweza piga chafya lakini kabla hajapiga chafya kashazikwa
Ukristo haulazimishi hayo lah! Uwezo wa kufanya hayo kama sawa.Amani iwe kwenu waja wa mwenyezi Mungu,.....
Moja ya vitu ambavyo uislamu unataka vifanyike kwa haraka wakati ukifika ni ndoa na kuzika...