Moana
Senior Member
- Jan 18, 2021
- 103
- 137
Habari ndugu zangu,
Nimeamua kuleta hii mada tuzungumze kidogo baada ya kusikia wanawake wasomi wana viburi. Mara nyingi mwanamke akiwa msomi anakua anaweza kufikiri na kupima kabla ya kukubali jambo lolote analoambiwa na mwanaume ni vigumu sana mwanaume asiyekua na kisomo kuelewa kwa hiyo wengi wao huishia kusema ananipanda kichwani au anaringia elimu.
NB: Wanaume ambao mmesoma kidogo au hamjasoma kabisa mkubali kuwa waelewa kuliko kuendekeza inferiority, unaweza kupoteza wife material kabisa sababu unajudge sana wanawake wasomi. Kujua kureason sio kuwa na dharau.
Nimeamua kuleta hii mada tuzungumze kidogo baada ya kusikia wanawake wasomi wana viburi. Mara nyingi mwanamke akiwa msomi anakua anaweza kufikiri na kupima kabla ya kukubali jambo lolote analoambiwa na mwanaume ni vigumu sana mwanaume asiyekua na kisomo kuelewa kwa hiyo wengi wao huishia kusema ananipanda kichwani au anaringia elimu.
NB: Wanaume ambao mmesoma kidogo au hamjasoma kabisa mkubali kuwa waelewa kuliko kuendekeza inferiority, unaweza kupoteza wife material kabisa sababu unajudge sana wanawake wasomi. Kujua kureason sio kuwa na dharau.