Kwanini uhangaike kuita gari la kunyonya maji taka wakati kuna mfumo ambao ukiuweka shimo halitajaa

Tangu mwaka jana hadi leo mtaalamu kaficha teknolojia na kupoteza wateja.

Mkuu mwenye uzi huku watu wanaenda kuuliza mitaani wanapewa elimu zaidi wanawaamini hao waliowafuata kuwauliza matokeo yake wanawapa kazi hao hao.

Mwaga elimu watu wakuamini wakupe kazi acha kusema "KARIBUNI" huo ni ufundi wa 2000s kurudi nyuma.

Shauri yako, utaonekana KANJANJA
Mafundi wenzie wanatangaza instagram na facebook wanaweka picha na bei zao, hizi sio vitu vya kuficha. weka picha na bei
 
Bei zenu kubwa unnecessarily,
Ukiwa na kazi niite nakupa quotation ya materials na labour separately, utachagua wewe ununue material mwenyewe au la?

Kwenye industry ya ujenzi imeingiliwa na ma helpers, Hawa wanaomba tender kama wataalam wakati hawana ujuzi ,bei wanazo quote ni ndogo mno.

Mfumo huu watu wengi wanatengenezewa makaravati wakidhani ndio mfumo wenyewe kumbe sio. Kwahiyo usije kuwa miongoni mwa hao waliowekewa calvati wakidhani ni full system.
 
Ukiwa na kazi niite nakupa quotation ya materials na labour separately, utachagua wewe ununue material mwenyewe au la?

Kwenye industry ya ujenzi imeingiliwa na ma helpers, Hawa wanaomba tender kama wataalam wakati hawana ujuzi ,bei wanazo quote ni ndogo mno.

Mfumo huu watu wengi wanatengenezewa makaravati wakidhani ndio mfumo wenyewe kumbe sio. Kwahiyo usije kuwa miongoni mwa hao waliowekewa calvati wakidhani ni full system.
I know materials Ni cheaper, sema margin/profit yenu mnaweka kubwa sana
 
Tatizo la hawa mafundi wengine ni vibaka....yaani unampa fundi kazi yeye anakuja na vibaka kusoma ramani ya nyumba yako ili siku nyingine waje kivyao na nondo za kukuangamiza.
 
PBA tupe abc wewe unasema karibu mara zote biashara hujitangaza sasa wewe unatangaza maneno tu? Wahitaji ni wengi weka abc au picha tujue ipi ni ipi au pia kama unapanda mkaratusi juu ya ceptic tanks sema tuanze kuotesha vitalu mapema
 
Back
Top Bottom