jafarikyaka
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 378
- 268
Kwani na yeye kasema huyo mrundi yupo DAR ..?hajatingaza kuwa yupo Dar wewe unawahi kusema unatumaini na mikoani utawapata???
Kwani na yeye kasema huyo mrundi yupo DAR ..?hajatingaza kuwa yupo Dar wewe unawahi kusema unatumaini na mikoani utawapata???
Umesahau kuwa hata Dar ni mkoani?hajatingaza kuwa yupo Dar wewe unawahi kusema unatumaini na mikoani utawapata???
HakikaUmesahau kuwa hata Dar ni mkoani?
Karibuni
Karibuni
Karibuni
Karibuni
Gharama hutofautiana kutokana na ukubwa wa matumiziFundi badala kuendelea kukaribisha watu, we eleza kwa ufupi tu gharama zilivyo. Kwanini hujiamini kwani mkuu? Sema tu sehemu ya mfinyanzi ni shilingi kadhaa na kwenye tifutifu ni shilingi kadhaa na kazi kujenga inachukua siku kadhaa. Material ni moja, mbili tatu!
Kisha weka na picha si basi?
Karibuni
Kinachofanyika nikubadili kinyesi kuwa majiBadilisha kichwa cha uzi "Mashimo yasiyojaa haraka".
Sio mashimo yasiyojaa,unacheza na kimba wewe. Shimo lazima lijae.
Hivi kwa nini Makonda hajakupa tenda ili ajenge 'Public toilets' ?? lol..au watu watatumbukia? lol