Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Why Watanzania na Wakenya wanajiona kama ndio wanarun East Africa??m
They rarely scarcely talk about us. Its like we don't exist. I feel shamed. Halafu wakija Uganda wanajiona kama wajanja sana wanakuja kututoa ushamba.
For your information na sisi ni sovereign state with our affairs.
Au kwakuwa hatujuiKkiswahili fasaha?
I beg to differ.
Au kwakuwa wao wana vivutio vya utalii vingi kutuzidi?
I beg to differ.
Au kwakuwa wao wana uchumi mkubwa kuliko sisi?
I beg to differ.
Au kwakuwa wanatuzidi elimu?
I beg to differ.
Matter of fact chuo kikubwa East Africa kipo Uganda that is Makerere University.
Top that Kenya and Tanzania!
Sent using Jamii Forums mobile app
They rarely scarcely talk about us. Its like we don't exist. I feel shamed. Halafu wakija Uganda wanajiona kama wajanja sana wanakuja kututoa ushamba.
For your information na sisi ni sovereign state with our affairs.
Au kwakuwa hatujuiKkiswahili fasaha?
I beg to differ.
Au kwakuwa wao wana vivutio vya utalii vingi kutuzidi?
I beg to differ.
Au kwakuwa wao wana uchumi mkubwa kuliko sisi?
I beg to differ.
Au kwakuwa wanatuzidi elimu?
I beg to differ.
Matter of fact chuo kikubwa East Africa kipo Uganda that is Makerere University.
Top that Kenya and Tanzania!
Sent using Jamii Forums mobile app