Mwananchi, uk 2
:A S cry::A S cry::A S cry:Kuna mambo mengine yanafanyika Tanzania yanachekesha na pia kuuzunisha sana. Wanafunzi 50 wa UDSM walizuiwa jana kuhudhuria kongamano la katiba UDOM eti kwa sababu za kiintelijensia , kwamba lengo llilikuwa kwenda kupandikiza chuki kwa
wanafunzi wa UDOM dhidi ya serikali. Walizuiwa maeneo ya Chamwino na polisi.
Katika maswala ya demokrasia TZ tunaenda mbele na kurudi nyuma. Hao wanafunzi wa UDSM wana chuki gani dhidi ya serikali? Au kwa vile labda wangezungumza mambo ambayo serikali isingependa kusikia? Inaumiza sana.:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry:
:A S cry::A S cry::A S cry:Kuna mambo mengine yanafanyika Tanzania yanachekesha na pia kuuzunisha sana. Wanafunzi 50 wa UDSM walizuiwa jana kuhudhuria kongamano la katiba UDOM eti kwa sababu za kiintelijensia , kwamba lengo llilikuwa kwenda kupandikiza chuki kwa
wanafunzi wa UDOM dhidi ya serikali. Walizuiwa maeneo ya Chamwino na polisi.
Katika maswala ya demokrasia TZ tunaenda mbele na kurudi nyuma. Hao wanafunzi wa UDSM wana chuki gani dhidi ya serikali? Au kwa vile labda wangezungumza mambo ambayo serikali isingependa kusikia? Inaumiza sana.:A S cry::A S cry::A S cry::A S cry::A S cry: