Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,557
- 2,692
Habarini,leo tena nawakumbusha kwa wanaoendelea kujenga kwenye maeneo madogo hata makubwa kwamba huna haja ya kuchimba mashimo kwaajili ya Choo,tumia technology yetu ya Biodigester Decentralized System ni nafuu,haijai,inachukua nafasi ndogo pia ni environmental friendly.Hata kwa walio na Nyumba tayari,tunaweza kukubadilishia ukaishi maisha ya furaha yasiyokua na bugudha ya harufu ya Choo au nzi.Tunapatikana Dar lakini tunafanya kazi mikoa yote,
Karibuni,
Free kuja site kwako pia tunakupa ushauri
Karibuni,
Free kuja site kwako pia tunakupa ushauri