Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Shaka Hamdu Shaka ambaye ni Katibu wa Itikadi na Uenezi ametangaza kuwa uchaguzi wa Sekretariet ya CCM uliokuwa ufanyike leo umeahirishwa. Amedai uchaguzi huo utafanyika siku zijazo na pengine mwakani.
Sababu kuu ni nini? Au kauli za Makamba zingebadilisha uelekeo wa ushindi?
Sababu kuu ni nini? Au kauli za Makamba zingebadilisha uelekeo wa ushindi?