Asterisk
JF-Expert Member
- Jun 1, 2012
- 214
- 50
Hi All
Kwa nin tanzania tumekua na mfumo mmoja wa comedians, i.e all comedians wanatumia mfumo wa taarifa ya habari, ( Yaani kwenye comedy kunakua na mtu anatangaza taarifa ya habari theni ndo wanachekesha)
kungekuwa na comedians like basket mouth, klint the drunk na wakina trevor noah.... i.e standup comedy
kunakua na matamasha watu wanahudhuri halafu kunakua na comedian anachekesha kwa kuzungumza tuu...
RAI KWA COMEDIANS, BE CREATIVE AND EXPAND THE SCOPE
Kwa nin tanzania tumekua na mfumo mmoja wa comedians, i.e all comedians wanatumia mfumo wa taarifa ya habari, ( Yaani kwenye comedy kunakua na mtu anatangaza taarifa ya habari theni ndo wanachekesha)
kungekuwa na comedians like basket mouth, klint the drunk na wakina trevor noah.... i.e standup comedy
kunakua na matamasha watu wanahudhuri halafu kunakua na comedian anachekesha kwa kuzungumza tuu...
RAI KWA COMEDIANS, BE CREATIVE AND EXPAND THE SCOPE