Kwanini tusiamini TBC wamempuuza Rais?

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,898
Hivi karibuni Rais Magufuli alizuru TBC, akatoa maagizo chombo hicho kitoe fursa sawa kwa vyama vya siasa vyote. Nimesikiliza taarifa ya habari ya TBC, saa 2 usiku wa leo Juni 5. Hakuna lolote kuhusu kifo cha Mzee Ndesamburo lililotangazwa. Kwanini tusiamini TBC wamempuuza Rais. Ubaguzi unaaanza kulitafuna Taifa letu. Tuupinge kwa nguvu zote

=====================
Maoni ya Mdau Mwingine
=====================

Heshima kwenu wakuu,

Hawa TBC, rais Magufuli amejaribu kuwabeba lakini hawabebeki. Wamejaa dharau na Kiburi. Rais ni Taasisi, hata Kama Magufuli kama Magufuli hamumuheshimu, basi heshimuni cheo chake na taasisi ya rais.

Tunajua Mkitumbuliwa kunakuwa na madhara kwa jamii hasa familia na watoto, lakini katika kusimamia maadili lazima tuwatumbue bila hivyo nchi haiendi. Watanzania tulikuwa tumefika pabaya ambacho kila mtu alikuwa anafanya anachotaka.

Watu wanalalamika. Hivi karibuni Rais Magufuli alizuru TBC, akatoa maagizo chombo hicho kitoe fursa sawa kwa vyama vya siasa vyote. Nimesikiliza taarifa ya habari ya TBC, saa 2 usiku wa leo Juni 5. Hakuna lolote kuhusu kifo cha Mzee Ndesamburo lililotangazwa.

Kwanini tusiamini TBC wamempuuza Rais. Ubaguzi unaaanza kulitafuna Taifa letu.

Tuupinge kwa nguvu zote hasa hawa wanaomchanganisha rais na Wananchi
 
Ilikuwa kutaka kuuwa soo ya television ya taifa kudanganya kama trumtrump amemsifia rais!
Hivyo wakaona waunganishe kwa kusema waanze kutangaza kwa usawa na habari za upinzani!
Shame tbcccm
 
Hivi karibuni Rais Magufuli alizuru TBC, akatoa maagizo chombo hicho kitoe fursa sawa kwa vyama vya siasa vyote. Nimesikiliza taarifa ya habari ya TBC, saa 2 usiku wa leo Juni 5. Hakuna lolote kuhusu kifo cha Mzee Ndesamburo lililotangazwa. Kwanini tusiamini TBC wamempuuza Rais. Ubaguzi unaaanza kulitafuna Taifa letu. Tuupinge kwa nguvu zote

Mkuu unaweza kusikia mtu anaongea hivyo kutafuta kick lakini nyuma ya pazia unakuta yeye ndio mkurugenzi wa kituo. Tazama matendo na sio maneno yangu!!
 
Heshima kwenu wakuu,

Hawa TBC, rais Magufuli amejaribu kuwabeba lakini hawabebeki. Wamejaa dharau na Kiburi. Rais ni Taasisi, hata Kama Magufuli kama Magufuli hamumuheshimu, basi heshimuni cheo chake na taasisi ya rais.

Tunajua Mkitumbuliwa kunakuwa na madhara kwa jamii hasa familia na watoto, lakini katika kusimamia maadili lazima tuwatumbue bila hivyo nchi haiendi. Watanzania tulikuwa tumefika pabaya ambacho kila mtu alikuwa anafanya anachotaka.

Watu wanalalamika. Hivi karibuni Rais Magufuli alizuru TBC, akatoa maagizo chombo hicho kitoe fursa sawa kwa vyama vya siasa vyote. Nimesikiliza taarifa ya habari ya TBC, saa 2 usiku wa leo Juni 5. Hakuna lolote kuhusu kifo cha Mzee Ndesamburo lililotangazwa.

Kwanini tusiamini TBC wamempuuza Rais. Ubaguzi unaaanza kulitafuna Taifa letu.

Tuupinge kwa nguvu zote hasa hawa wanaomchanganisha rais na Wananchi
 
Binafsi Huwa Siangalii Tbc Kwa Chochote Kile Bora Niingie Kwenye Tovuti Za Serikali Ndio Napata Vitu Kwa Upana Kuliko Tbc
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom