johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,819
- 141,727
Kwanini makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu alisema chama chake hakitamwekea dhamana Freeman Mbowe?
Je, Tundu Lissu alijua mapema mashtaka yatakayomkabili Freeman Mbowe na kwamba hayana dhamana?
Na kama alijua, alijuaje?
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe kama Paulo na Silla.
Mungu ni mwema wakati wote!
Je, Tundu Lissu alijua mapema mashtaka yatakayomkabili Freeman Mbowe na kwamba hayana dhamana?
Na kama alijua, alijuaje?
Mungu mpe wepesi Freeman Mbowe kama Paulo na Silla.
Mungu ni mwema wakati wote!