johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Hili swali unaweza kulidharau lakini ni la msingi sana hasa kwa sisi wana CCM kindakindaki.
Ni nini hasa kiliwavuta watu kwenye mikutano ya Tundu Lisu?
Je, ni huruma sababu alipigwa risasi nyingi?
Je, ni uwezo wake wa kutoa uongozi?
Je, ni mapenzi ya wananchi kwa Chadema?
Au ni watanzania wanataka mabadiliko CCM imewachosha?
Naomba maoni na mtazamo wenu Tafadhali!
Ni nini hasa kiliwavuta watu kwenye mikutano ya Tundu Lisu?
Je, ni huruma sababu alipigwa risasi nyingi?
Je, ni uwezo wake wa kutoa uongozi?
Je, ni mapenzi ya wananchi kwa Chadema?
Au ni watanzania wanataka mabadiliko CCM imewachosha?
Naomba maoni na mtazamo wenu Tafadhali!