Historia inaonyesha tuliwafukuza wazungu baada ya uhuru Tanzania. Serikali ya ujamaa ilivichukua viwanda vyote vya wazungu ili iviendeshe. Haya yalikuwa mawazo ya Marxism written theory, kwamba wazungu (north) wanaziibia nchi maskini (south). Baada ya muda mrefu Ujamaa ukatushinda. Mwinyi alipokuwa rais akaanza na sera za free market capitalism. Sasa kwanini serikali haianzishi viwanda halafu baadaye wakavibinafsisha kwa Watanzania? sasa hivi tunawaita wazungu warudi bongo waje kuekeza. Wazungu kuja kuekeza TZ, ni sawa na kuwaita wakoloni warudi tena kuja kutunyanyasa bongo.