jamani waungwana naomba kidogo kuuliza swali, hivi kwanini tuna sherehea kufa kwa nyerere????!
kufa kwake kumetusaidia nini sisi kama watanzania??labda useme kumewasaidia viongozi mana naona saiv watu wamejiachia wanaiba na kufanya ujinga wote bila kumuogopa mtu, atlist alipokuwepo watu walikua wanaogopa kufanya mambo ya kijina.
me nasema hivi watu walioweka siku ya kufa nyerere kama siku ya kukubwa kwake, basi ndo hao wanaofaidika na kifo chake kwa njia ya ufisadi na nini. Ila kwa watu kama sisi wa kawaida nazan tungekua tunasherekea siku yake ya kuzaliwa kwa sababu kuzaliwa kwake kuna maana zaidi kuliko kufa kwake. hata nchi za wenzetu kama marekani na south africa wanawakumbuka viongozi wao kwa siku zao za kuzaliwa na si kifo,mfn martin luther king jr day inasherekewa siku yake ya kuzaliwa na si kufa.
ni mtazamo tu
kufa kwake kumetusaidia nini sisi kama watanzania??labda useme kumewasaidia viongozi mana naona saiv watu wamejiachia wanaiba na kufanya ujinga wote bila kumuogopa mtu, atlist alipokuwepo watu walikua wanaogopa kufanya mambo ya kijina.
me nasema hivi watu walioweka siku ya kufa nyerere kama siku ya kukubwa kwake, basi ndo hao wanaofaidika na kifo chake kwa njia ya ufisadi na nini. Ila kwa watu kama sisi wa kawaida nazan tungekua tunasherekea siku yake ya kuzaliwa kwa sababu kuzaliwa kwake kuna maana zaidi kuliko kufa kwake. hata nchi za wenzetu kama marekani na south africa wanawakumbuka viongozi wao kwa siku zao za kuzaliwa na si kifo,mfn martin luther king jr day inasherekewa siku yake ya kuzaliwa na si kufa.
ni mtazamo tu