UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,520
- 7,723
Hahaaa, wapinzani wanapoongoza kuunga mkono juhudi, hapo ndo unajua kondoo kwa kihindi inaitwaje !Kwa muktadha huu sisi Watanzania kwa pamoja bila kujali chama tulipata mateso sawa kwa miaka mitano iliyopita,na Sasa mama anatuletea faraja Watanzania wote wanaCCM na ambao sio Wana CCM.