Kwanini tunalaumu Mtu mwenye simu ya Gharama halafu analia hana kazi/mtaji?

Unaweza kupata pull kadhaa za shada chaliangu ukawa pusher. Kikubwa connection kama unataka connection nikupe.
Shada nimeuza sana chali yangu kule singida singidani kipindi io nasoma chuo cha uhasibu TIA ..sero za pale singidani wale ma pai wananijua vizuri sana maana nimedakwa na kulala sana na kuchomoka sema nilikuwa napigwa ela ndefu sana hadi 400k kama dhamana ..kuna kipindi ilikuwa ukishikwa na kama umetokea chuga maana lafudhi yetu inajulikana ..basi wewe unageuzwa mradi na ma cops na watakugombania, maana chuga ndo ilikuwa centa ya shada Kanda ya kati hadi huko mwanza tulikuwa tunapeleka kimafia sana hadi zile ma mbwa zao zinanusa lakini hazisikii harufu hahahaha noma sana chali yangu.
 
Maboss kama akina @PRONDO, Asprin, na wengineo hapa munakuwa wabahili hivi sisi kajamba nani tufanyeje? Kama pesa ipo nunua simu Kali tu ..usione ubahili kutumia 3M kununua simu. Sisi wenye Vodafone zetu tupambane na hali zetu.

NB: kama pesa ipo, kama hakuna pesa za kutosha acha hayo mawazo ya simu za M3 wewe nunua zako Techno Y4 kisha pambana.
Kwangu simu kama inatuma msg,whatsapp,internet inatosha. Simu yangu ya 250,000 inafanya yote hayo.
 
Basi wanaonunua simu m3 tuwaelewe tu..
Umeshindwa kutofautisha. Nikinunua hio ujue siwezi kulalamika sina hela ya mahitaji muhimu. Kuna watu kibao wananunua simu za 3m na ni sawa kabisa. Hapa tunazungumzia mtu anaenunua simu ya 3m halafu analalamika maisha magumu hana kazi na hana mtaji hata wa kuuza maji.
 
Simu inetumika kama mfano tu..
Kuna vitu vingi vya anasa ama visivyo na ulazima ambavyo matumizi ya pesa tunayaelekeza huko..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Jipongeze hapohapo ulipo mkuu.


Alafu pia hivi vitu ni hobby ya mtu,

Kama ilivyo tu mtu anaji-sacrifice analopia laki kwaajili ya mechi ya mpira au masubwi.

Mtu ananunua gari la kutembelea.

Mtu anahonga pakubwa yeye na familia yake wanakula padogo.

Mtu anafunga/anatia heshima bar.

Hawa watu msiwashangae ndio starehe(hobby) yao iliko.

Tatizo linakuja hayo mambo unayofanya yanaendana na kipato chako!? Kama haviendani kwa maanakwamba hauna au kipato chako ni kidogo au kipo cha kutosha ila ni cha mpito (unstable cash flow) basi tambua wewe na pimbi hamna tofauti katika harakati.

Katika kutafuta mafanikio lazima ujue kipi ni cha kukipa kipaumbele na kipi kisubili kwanza hadi pale mambo yatakapo tengemaa.
 
Hapa itategemea na mhusika anamiliki hicho kitu kwa malengo gani.

Sasahivi dunia inaenda kasi sana (teknolojia imekua), watu wamekua wabunifu kitu ambacho unakiona ni liability kwa huyu, yule anakitumia kama asset.

mfano: Uber & Bolt, kuna freelancers ukiona ma-gadget anayomiliki unaweza kumchukulia poa, kumbe anapiga ndege wawili kwa jiwe moja.
Kuna basic needs na luxury needs,
Simu ya milioni tatu ni luxury needs, ni liability.
 
Jipongeze hapohapo ulipo mkuu.


Alafu pia hivi vitu ni hobby ya mtu,

Kama ilivyo tu mtu anaji-sacrifice analopia laki kwaajili ya mechi ya mpira au masubwi.

Mtu ananunua gari la kutembelea.

Mtu anahonga pakubwa yeye na familia yake wanakula padogo.

Mtu anafunga/anatia heshima bar.

Hawa watu msiwashangae ndio starehe(hobby) yao iliko.

Tatizo linakuja hayo mambo unayofanya yanaendana na kipato chako!? Kama haviendani kwa maanakwamba hauna au kipato chako ni kidogo au kipo cha kutosha ila ni cha mpito (unstable cash flow) basi tambua wewe na pimbi hamna tofauti katika harakati.

Katika kutafuta mafanikio lazima ujue kipi ni cha kukipa kipaumbele na kipi kisubili kwanza hadi pale mambo yatakapo tengemaa.
Tatizo linakuja haya Mambo yanaendana na kipato chako?!!.....Hapa tumeelewana.
 
Hapa itategemea na mhusika anamiliki hicho kitu kwa malengo gani.

Sasahivi dunia inaenda kasi sana (teknolojia imekua), watu wamekua wabunifu kitu ambacho unakiona ni liability kwa huyu, yule anakitumia kama asset.

mfano: Uber & Bolt, kuna freelancers ukiona ma-gadget anayomiliki unaweza kumchukulia poa, kumbe anapiga ndege wawili kwa jiwe moja.
Uber,Bolt hawako kwenye kundi la kulia ajira au kukosa mtaji.
 
Kumiliiki au kuwa na vitu vya thamani sio tatizo .....Tatizo lipo kwa watu ambao hawana uchumi imara afu wanaendeza luxury Goods

Kwenye kutafuta mafanikio Nidhamu ya pesa inahitajika sana ..na uweze ku control ..hisia zako yan usiendeshwe na mihemko ..bali akili ikuongoze

Kuna tofaut kubwa sana kati ya Intelligency spendings na Emotional spendings

In Addition

Ni muhimu kubalance yan ...usiwe mbahili sana hadi kushindwa kufanya zile basic needs...na pia usijiachie kupitiliza ....kila kitu kifanyike kwa kias
 
Umeshindwa kutofautisha. Nikinunua hio ujue siwezi kulalamika sina hela ya mahitaji muhimu. Kuna watu kibao wananunua simu za 3m na ni sawa kabisa. Hapa tunazungumzia mtu anaenunua simu ya 3m halafu analalamika maisha magumu hana kazi na hana mtaji hata wa kuuza maji.
Ni kweli nimekupata hapa,anaenunua simu ya 2m,3m alafu analalamika nyama ngumu huyo ajitafakari sana.
 
Back
Top Bottom