abdulrahmana
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 225
- 130
Swali lako tu linathibitisha uwepo wa Mola.Swali hili ni dhidi ya wale wakanaji juu ya kuwepo Muumba.Habari wana jamvi, natumai wote mu wazima na mimi kwa upande wangu ni mzima na bukheri wa afya.
Kama heading inavyosema hapo, nataka kujua ki undani zaidi kwanini tunakufa? Na kwanini binadamu akifa anashindwa kufufuliwa, kama tatizo lilikuwa ni figo kufeli kwanini baada ya kufa marehemu akiwekewa figo nyingine hafufuki?
Maana katika maisha ya kawaida kitu kikiharibika kabisa kama vile gari kikiwekewa kitu kipya kinapona na kinarudia hali yake ya mwanzoni.
Sisi tunao amini suala la uwepo wa Mola muumba swali lako ni rahisi sana.Jibu litafata baadae.
Wayakinifu swali hili hawawezi kulijibu.