Lengo la sisi kuwa hapa duniani ni nini?

Hujajibu swali
Wapi hujaelewa hapo? Mbona jamaa kaeleza kwa lugha rahisi inaeleweka hata kwa mtoto? Hebu rudia tena kusoma utamuelewa vzr.

usiwe Kama aliosema jamaa hapo juu kwamba Kuna baadhi hamtaki kusikia habari hz ila ukweli ndiyo ndiyo huo,Yan hapa duniani ndo mahali pekee panapo determine mustakabali wa maisha yako yanayofuata baada ya kufumba jicho.Pamoja na kuwepo na makundi yanayokusahaulisha khs maisha yajayo ila tufahamu tu kwamba hapa tunapita na utakutana na aliyekuleta hapa duniani bila wewe kupanga kwa hiari yako na atakuonyesha yote uliyoyafanya hapa kituo namba 3 Kisha atakuweka mahali unapostahiki kwa mujibu ya uliyoyatenda hapa Duniani.

Nikupe sana hongera dadangu kwa kuwaza vzr,wengi tunawaza hivi lkn hatuutaki ukweli tunapotezea japo Hakuna namna nyingine ya sisi kufuata hii kanuni.Uwe mwanasiasa,uwe mcheza mpira,mwanamuziki,mfanyabiashara,uwe jambazi,kahaba ,teja,uwe sheikh,mchungaji, doctor..

Yan ishi utakavyoishi ila ukae ukijua kwamba aliyetuumba amekuwekea viumbe maalum usiowaona wanarecord Kila unachokifanya hata kiwe kidogo kama mchanga na report Kila mtu atapewa siku ya Mwisho au siku ya kiama siku ambaya Kila mtu ataambiwa alichokifanya akiwa hapa Duniani.

Ili uwe salama Ni lazima uishi kwa taratibu alizoziweka Mungu Muumbaji,usiishi unavyotaka wewe utaishia pabaya na hutapata nafasi nyingine ya kusawazisha.Nafasi ya kusawazisha ipo hapa hapa duniani kabla hujaaga Dunia.
 
Hapa inahitaji kufungua mlango ili kupata maana. Mada nzuri hii..

Ukikaa katika utiisho wa usawa kati ya nafsi, roho na mwili utaweza kufumbua fumbo hili. Fanyia kazi hiyo kupata rhythm of equilibrium ya hivyo vitu vitatu. Hakika utayaona maisha katika upande tofauti kabisa.
 
Tunazaliwa, tunakua tunazeeka tunakufa!

Lengo la sie kuwa hapa duniani ni nini?

Kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi, kwanini tunaishi hapa??

Kwa nini tunazaa watoto?

Tunawazaa Waje wafanye nini hapa wakati mwisho wao nikufa??

Siku zote tunaangaika na maisha kupata fedha ili kupata chakula cha asubui mchana na jioni, then tuna lala tunaamka tunaendela kutafuta fedha kwa ajili ya chakula cha asubui mchana na jioni tuna lala tena, siku zinakwenda tunazeeka tuna kufa, mzunguko unaendelea nini maaana yake???

Kuna haja ya kuzaa mtoto ili aje kupitia mzungukuko huu wa maisha?

Yaani kuamka asubui kwenda kutafuta, kula, kulala na kusubiri kufa??

NINI MAANA YA MAISHA, KWA NINI TUNAISHI?

Tunafanyaa meeengi, yote ni kama kujisahaulisha hitimisho letu (kifo)!!

Utajenga jumba kubwa kuliko yoote, utafanikiwa kupita binadamu wooooote duniani, utakuwa na pesa nyiiiingi sana mpaka hujui cha kuzifanyia lakini unakufa, sasa kwanini tunaishi hapa duniani??? Kulikua na ulazima gani wasie kuwepo hapa duniani kama tunakufa?

JeTunaishi ili tufe???

Nini maana ya maisha???View attachment 1575137
Unaishi ili ujaribiwe kama utaweza kufaulu mtihani wa kuwa mwema kwa kumtumikia aliyekuwezesha kuwa mwanadamu.
 
Kiimani tunaishi kutimiza maandiko na kifo ni siri ya Nguvu kuu yenye mamlaka yote na hatima ya mwanadamu. Kifo ni mtaala wa Utiifu wa mwanadamu kwa Nguvu Kuu.

Kibiolojia tunaishi kwa sbb tumezaliwa na tuna viungo kazi vinavyotuwezesha kuishi, kiutendaji na kiufahamu. Hapa hatuna tofauti na Ng'ombe, Mende wala Kuku kama viumbe hai ila tumetofautiana tu kwenye maumbile, utashi na mamlaka. Kifo ni zao la hitilafu katika mfumo wa upumuaji na ukifa unaoza, unatengeneza mbolea au kemikali.

Kwa nini tunazaliwa? Kuna nadharia nyingi zinazo jibu swali hilo.
 
Kamwe binadamu hatokuja kujua ni kwa nini anaishi, lengo la maisha ya mwanadamu halitokaa lijulikane na wanadamu ila linafahamika na yule aliyemtengeneza mwanadamu (kama yupo). Kwa hiyo mkuu we endelea na huo mzunguko tu.
Hahaaa, Kwaiyo tuzunguke tu wangu!!

But lazima tujiulize, kuna kitu bado hatujajua labda,

why are we here??

Tulichagua kuwa hapa??
 
Wapi hujaelewa hapo? Mbona jamaa kaeleza kwa lugha rahisi inaeleweka hata kwa mtoto? Hebu rudia tena kusoma utamuelewa vzr....usiwe Kama aliosema jamaa hapo juu kwamba Kuna baadhi hamtaki kusikia habari hz ila ukweli ndiyo ndiyo huo,Yan hapa duniani ndo mahali pekee panapo determine mustakabali wa maisha yako yanayofuata baada ya kufumba jicho.Pamoja na kuwepo na makundi yanayokusahaulisha khs maisha yajayo ila tufahamu tu kwamba hapa tunapita na utakutana na aliyekuleta hapa duniani bila wewe kupanga kwa hiari yako na atakuonyesha yote uliyoyafanya hapa kituo namba 3 Kisha atakuweka mahali unapostahiki kwa mujibu ya uliyoyatenda hapa Duniani.Nikupe sana hongera dadangu kwa kuwaza vzr,wengi tunawaza hivi lkn hatuutaki ukweli tunapotezea japo Hakuna namna nyingine ya sisi kufuata hii kanuni.Uwe mwanasiasa,uwe mcheza mpira,mwanamuziki,mfanyabiashara,uwe jambazi,kahaba ,teja,uwe sheikh,mchungaji, doctor....Yan ishi utakavyoishi ila ukae ukijua kwamba aliyetuumba amekuwekea viumbe maalum usiowaona wanarecord Kila unachokifanya hata kiwe kidogo kama mchanga na report Kila mtu atapewa siku ya Mwisho au siku ya kiama siku ambaya Kila mtu ataambiwa alichokifanya akiwa hapa Duniani.Ili uwe salama Ni lazima uishi kwa taratibu alizoziweka Mungu Muumbaji,usiishi unavyotaka wewe utaishia pabaya na hutapata nafasi nyingine ya kusawazisha.Nafasi ya kusawazisha ipo hapa hapa duniani kabla hujaaga Dunia.
Okey! Asante sana

Nimepeda umenipa jambo fulani jipya, !!
 
Ni swali ambalo hata Mimi najiuliza Kila Siku na nakosa jibu.

Binafsi maisha yamenipeleka sehemu nyingi na za tofauti tofauti , back then nilikuwa naamini Kuna Siku nitakipata ninachokitafuta na hatimaye nitapumzika somehow , nikiwaangalia watoto wangu wadogo, nikalinganisha na hustling nilizofanya , halafu na wao wapitie kama nilipopita mie , then waje wapate feelings hizi ninazopata honestly sioni sababu ya kuzaliwa Wala kuzaa
 
Tunazaliwa, tunakua tunazeeka tunakufa!

Lengo la sie kuwa hapa duniani ni nini?

Kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi, kwanini tunaishi hapa??

Kwa nini tunazaa watoto?

Tunawazaa Waje wafanye nini hapa wakati mwisho wao nikufa??

Siku zote tunaangaika na maisha kupata fedha ili kupata chakula cha asubui mchana na jioni, then tuna lala tunaamka tunaendela kutafuta fedha kwa ajili ya chakula cha asubui mchana na jioni tuna lala tena, siku zinakwenda tunazeeka tuna kufa, mzunguko unaendelea nini maaana yake???

Kuna haja ya kuzaa mtoto ili aje kupitia mzungukuko huu wa maisha?

Yaani kuamka asubui kwenda kutafuta, kula, kulala na kusubiri kufa??

NINI MAANA YA MAISHA, KWA NINI TUNAISHI?

Tunafanyaa meeengi, yote ni kama kujisahaulisha hitimisho letu (kifo)!!

Utajenga jumba kubwa kuliko yoote, utafanikiwa kupita binadamu wooooote duniani, utakuwa na pesa nyiiiingi sana mpaka hujui cha kuzifanyia lakini unakufa, sasa kwanini tunaishi hapa duniani??? Kulikua na ulazima gani wasie kuwepo hapa duniani kama tunakufa?

JeTunaishi ili tufe???

Nini maana ya maisha???View attachment 1575137
Tunaishi ili kutimiza lengo la kuumbwa kwetu, ambalo ni kumuabudu Mola aliye tuumba.
 
Hahaaa, Kwaiyo tuzunguke tu wangu!!

But lazima tujiulize, kuna kitu bado hatujajua labda,

why are we here??

Tulichagua kuwa hapa??
Kuna thread moja nilijaribu kuelezea mawazo yangu juu ya hiki kitu sema mods wakaitumbukiza kwenye jukwaa la dini huko.

Ila kwa mimi naamini kuwa; tupo duniani si kwa mapenzi yetu. Sisi ni kamq mimea shambani kwa mwenye shamba. Mimea hiwezi ikajua kwa nini ipo hapo ila itishi kulingana na utaratibu na kanuni za asili yake, lakini mwenye shamba ndiye anajua kwa nini mimea hiyo ipo shambani.
 
Back
Top Bottom