Lihove2017
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 423
- 560
Wakuu tunajitwisha magonjwa ya presure bure.jiulize maswali yafuatayo
1.Je Unajua life expectancy ya mtanzania? Na maanisha makadirio ya ukomo wa maisha yako?je unajua kama wewe ni sawa na aset yaani una life span?
2.kwa nini uhangaike kujenga gujumba kukubwa halafu gugumu gwa gharama sana gwa kukaa miaka mia moja na hamsini wakati wewe tayari una miaka 30 balance ya umri wako ulio baki ni sana sana miaka 35 au 40 hivi
3. Kwa nini unafikiria kujenga huku tayari una miaka 45 , kwa nini usipange tu.maana unaweza maliza nyumba na umri wako umeshafikia mwisho
ongeza maswali mengine
1.Je Unajua life expectancy ya mtanzania? Na maanisha makadirio ya ukomo wa maisha yako?je unajua kama wewe ni sawa na aset yaani una life span?
2.kwa nini uhangaike kujenga gujumba kukubwa halafu gugumu gwa gharama sana gwa kukaa miaka mia moja na hamsini wakati wewe tayari una miaka 30 balance ya umri wako ulio baki ni sana sana miaka 35 au 40 hivi
3. Kwa nini unafikiria kujenga huku tayari una miaka 45 , kwa nini usipange tu.maana unaweza maliza nyumba na umri wako umeshafikia mwisho
ongeza maswali mengine