Ndoa ni mkataba. Kwanini tunaingia mkataba kwa mkuu wa wilaya na si mahakamani?. Nchi nyingi nimeona ndoa ya kiserikali inafungwa mahakamani. Kwanini iko hivyo?
Kwa sababu ukienda mahakamani unachezea hatari ya kuswekwa Lupango. Mahakama kazi yake ni kusuluhisha migogoro. Sasa kwani hata hapa mwanzo tayari mshatifuana mpaka mahakama ihusike!???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.