Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
Kwa muda sasa tumekuwa tukisisitiza kuwa matatizo ya kisiasa ni vyema kuyashungulikia kidiplomasia bila kujali yana ukakasi kiasi gani kwa sababu njia hiyo ndio yenye uwezekano mkubwa zaidi wa kuleta mafaniko kuliko zingine na faida yake ni kubwa kuliko hasara.
Wanaopinga mtizamo huo wana hoja kuu mbili;
Wanaopinga mtizamo huo wana hoja kuu mbili;