Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Toa ndoto za alinacha hapa!Unajua hayo matumaini uliyoyaweka ndio hufanya wengine kuuliza kuwa mbona baadhi ya zenye chanjo bado wanathiriwa sana na corona? na jibu huwa kiwango cha waliyochanjwa ni kidogo sana ukilinganisha population yao, kwahiyo muhimu kujua ni vp hizo chanjo zikija zitaleta ufanisi na sio kuwa na chanjo halafu tukawa bado tunaanza kuulizana mbona watu wanakufa.
Wanakufa kwa sbb chanjo hazina uwezo wa kukinga badala yake zenyewe ndio zinaongeza madhara! After all, they are experimental 'vaccine'! More over, they are not vaccines at all...but human genetic engineering 😭😡! Mfyuuuuuu 😡!