Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,809
- 93,582
CCM wamejificha kwenye dolaUsiku wa kuamkia maandamano sikulala vizuri, milio ya magari a polisi yalikesha. Kesho yake barabara mjini kwetu zilijaa migambo na raia wa kawaida waliogopa kwenda hata sokoni.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app