kana nimeweza kufuta ccm Kyela na sasa napambana na polisi tu , bado huamini kwamba chadema iko kila mahali ?Erythrocyte huwaga anadai eti ni mamilioni.
umedanganyika sana , yaani ulivyo na akili duni unadhani Polisi watawasaidieni hadi lini ? Aliyempindua dikteta Alfa Conde alikuwa mshika mwamvuli wake akihutubia juani au kwenye mvuaALAFU NI WAOGA ILE MBAYA..!
Haya sawa.kana nimeweza kufuta ccm Kyela na sasa napambana na polisi tu , bado huamini kwamba chadema iko kila mahali ?
Tangu jamaa yake awekwe sehemu salama amekuwa kama kichaaHuyo stress zinamzmsumbua sana kipindi hiki
Wanasema wanamtegemea Mungu, Mungu atawalipia! Cowards kabisa hawa jamaa! Ila ukiwakuta nyuma ya keyboard unaweza dhani ni akina Che GuavaraALAFU NI WAOGA ILE MBAYA..!
simple, mtawaua, mtawapoteza, mtawafunga and all other atrocities. Wako mitandaoni for their safety. In modern politics, nobody wants to be a dead hero. Nadhani nimekujibu vemaUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Ni mtandika kitanda Cha Mwamba Sasa hajui afanye Nini wakati huu stress Ni lazima.Huyo stress zinamzmsumbua sana kipindi hiki
Kufuata CCM kyela? Sasa kwanini hufuti CCM Kila mahali mbaki Chadema tuu umefuta kyela ndo mtachukua nchi kweli kwa akili hizo?kana nimeweza kufuta ccm Kyela na sasa napambana na polisi tu , bado huamini kwamba chadema iko kila mahali ?
Kwahiyo unawaza mapinduzi ili chadema mchukue nchi? Hilo gaidi lenu halina huo uwezo Kama wa aliyempindua Conde na hata jeshi likichukua nchi Haina maana kwamba Chadema ndo watakuwa wamechukua nchi.umedanganyika sana , yaani ulivyo na akili duni unadhani Polisi watawasaidieni hadi lini ? Aliyempindua dikteta Alfa Conde alikuwa mshika mwamvuli wake akihutubia juani au kwenye mvua
daaaah mkuu nimecheka sanaKwenye space ya maria watakwambia tulikuwa elfu 6
Hahhahah
Acha ujinga ndugu.Lisu alifanyiwa uwizi wa mchana kweupe kila mwennye akili aliona acha upotoshaji
CCM wanafanya siasa za kizamani mzee sisi tunafanya siasa kidijitali, dunia imehamia kwenye social networkUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Anataka watu wauaweKipigo cha mbwa kachoka na kesi za kubambikiwa ndio watu hawataki😅 mbaya zaidi ukishikwa inaweza ikawa mwisho wako kuwepo katika uso wa Dunia