zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,005
- 28,627
Unaweza kuweka hiko kifungu? Ni lini katiba hii ya CHADEMA imewahi kuweka limit ya terms?chama chao kikomo cha Mkiti ni miaka 10, Mbowe kavunja katiba
Unaweza kuweka hiko kifungu? Ni lini katiba hii ya CHADEMA imewahi kuweka limit ya terms?chama chao kikomo cha Mkiti ni miaka 10, Mbowe kavunja katiba
Si mruhusu mikutano tatizo mnazuia mikutano ma vikao vya ndani alafu mnataka kupima numbers??Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Always hata mtoto huanza kwa kutambaa kusimamia ukuta hatimaye anaanza hatua moja moja siyo lazima aliye mwenyekiti sasa ndiyo atarajie kuingia madarakani hebutujaribu kutengeneza plan za muda mrefu tukianza na huku chini kwenye raia wanashinda maeneo ya majumbani taratibu tukawajenga kisaikolojia wakatuelewa huku ndiyokwenye kundi kubwa la wapiga kura yaani kama kina mama wanaoshinda nyumbani ndiyo hao wanaendaga kupiga kura achasna na wanao shinda mijini na kuwa busy kwenye keyboard mitandaoni hata kura hawapigi hawa tujielekeze kwa hawa wa chini tukiwaweza hawa ni rahisi sana kuibadiri hii nchi ikaeewa upinzani unataka nini sasa hivi tuna lazimisha katiba ambayo hao wa chini hata hawajui umuhimu wake matokeo wanakuja kuona upinzani unaleta fujo kumbe ni kwamaslahi yao pia ila hawajuiDah, umepiga kwenye mshono. Wapinzani waanzie chini kujenga chama.
tena mkuu kundi kubwa liko vijijini na hata mijini wanaoshinda majumbani na maeneo ya makazi ambao hawaingii mitandaoni hebu tujenge upinzani kwanza huku chini tusi deal na watu wa mitandaoni tuimarishe mashinani kwanza wataelewa tu upinzani ukishakuwa na nguvu ya uma hata iweje watakubali tu bila hivyo yaani bila kuwa na nguvu ya umma upinzani utaonekana ni ukolofi tu sasa hivi hakuna nguvu ya ummmaUkifuatilia kwa umakini kabisa utabaini kuwa kundi lililopo mtandaoni linatofautiana kwa mbali sana na kundi ambalo kwa sehemu kubwa halingii mtandaoni ambalo ndilo kundi kubwa zaid
Kwa hiyo Green Guard wanavyowahi kufagia nje ya ofisi za CHADEMA na mabarabani wapinzani wanapotaka kukuonyeshi kuwa tupo,.?! umeshasahu, au ndio mnajiongerasha tu kama kuku aliekatwa kichwa.Hahahaha, lakini una hoja maridhawa kabisaaa...
Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
MaCCM mmeua watu, mmetesa watu, mmeteka watu, mmefunga watu, mmeshusha bendera za CHADEMA nchi nzima. Uchaguzi mnaomba msaada wa majeshi mpaka ya Burundi yawaibie kura./ maamuzi ya wananchi.Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Nikitaka kutukana lakini basiUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Hahahh Yani hata hueleweki unaongelea kitu gani rafiki...Kwa hiyo Green Guard wanavyowahi kufagia nje ya ofisi za CHADEMA na mabarabani wapinzani wanapotaka kukuonyeshi kuwa tupo,.?! umeshasahu, au ndio mnajiongerasha tu kama kuku aliekatwa kichwa.
MaCCM akilizenu hazinaga akili.
Kitu hujui ni kwamba hawa wapinzani kupitua vyama vya siasa huwa ni asilimia chache saaaana kulinganisha na idadi ya wapinzani walio ndani selikari.Kwahiyo unawaza mapinduzi ili chadema mchukue nchi? Hilo gaidi lenu halina huo uwezo Kama wa aliyempindua Conde na hata jeshi likichukua nchi Haina maana kwamba Chadema ndo watakuwa wamechukua nchi.
Nyumbu hovyo kabisa.
Mkuu, kwa nini hukupeleka hoja yako mtaani?Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Mi mwenyewe sasahivi natafuta mademu mitandaoni maana huko mtaani siwaoni. Mwisho wa kunukuuUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Waulize polisiccmUkiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.
Dunia sasa hivi ni ya kidigitali hivyo hao wapinzani wako mbele ya wakati. Hata katika nchi zilizoendelea kampeni kubwa hupigwa mitandaoni.Ukiingia mitandaoni unaweza kudhani kila kona ya tanzania utakutana na ofisi na bendera za wapinzani, maajabu ni kwamba tofauti na miaka kadhaa iliyopita bendera na ofisi za CCM pamoja na makada wanaovaa hizo sare utawapata kila kona ya nchi.
Naomba wapinzani watoke mitandaoni na kuendesha shughuli mitaani ili kuwafikia watanzania wa kawaida wasio na access ya mitandao.