Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Wana JF wengi katika michango yao kuhusu ukimya wa Mh R.Mengi humuangushia lawam BI SAKINA aliekuwa muhariri wake. jee sakina si tayari ameshacha akzi mbona bado tunamuhusha na kusema ndio chanzo cha mengi kukaa kmya