Kwanini Tumaini Kweka afanya majukumu ya Mwendesha Mashtaka wa Mkoa na Wilaya katika kesi za Sabaya? Je, ana maslahi binafsi?

nokwenumuya

JF-Expert Member
Jun 29, 2019
810
2,851
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
 
Tumaini kweka Anatumika na genge lenye unasaba na Baba mkwe wake freeman mbowe .

Ingawa amekomaa kulipiza kisasi kwa niaba ya Baba mkwe.

Lakini tuko chini ya hili jua.

Si muda mrefu huu mtandao unaoratibiwa na Hamduni utaumbuka.
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?


Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Ni wakati wenu huu sasa kuvuna mlichopanda.
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?


Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Kama Sabaya kafanya ujambazi wake Arusha, unategemea wachaga wawe hawajafanyiwa huo ujambazi..!?
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Wacheni majungu mchangieni mume wenu huko marinda yanafumuliwa usiku kucha huko Karanga
View attachment 2249214
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Akili zako zipo mkunduni
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Kweka ni mchaga ,na wauza madawa ya kulevya wengi ni wachaga
 
Tumaini Kweka aliteuliwa kuwa Naibu DPP na Mama Samia mwaka jana. Muda mfupi baadae tukamsikia yuko Arusha na akatoa tuhuma lukuki zinazomkabili Sabaya hata kabla hajapandishwa mahakamani.

Baada ya kupanishwa mahakamani kuna tuhuma ambazo Kweka alizitoa ambazo hazikuwa kwenye hati ya mashitaka.

Tumaini Kweka kama Naibu DPP ofisi zake ziko Dodoma. Na kila Mkoa una Afisa mwendesha mashitaka kama ilivyo katika kila Wilaya.

Lakini katika hizi kesi za Sabaya hata iliyofungukiwa Moshi juzi, katoka Dodoma kwenda kuisimamia japo kama Wakili wake alivyoeleza haijafuata utaratibu wa kisheria.

Maswali ni mengi ya kujiuliza maslahi binafsi aliyo nayo huyu Kweka na kesi za Sabaya hadi atumie Rasilimali za serikali na kuacha ofisi yake kwenda kufanya majukumu yanayopaswa kufanywa na waendesha mashitaka wa mikoa na wilaya.

Pia wengi wanaomlalamikia Sabaya ni wachaga akina Mbowe na magenge yao mengine ambayo Sabaya alishugulika nayo ya watu wanaosambaza pesa bandia, madawa ya kulevya na wezi wa magari. Ambao wengi tunajua makao yao ni jimbo la Hai.

Na yeye pia ni mchaga wa Hai. Je hakuna mkakati wa hawa watu wa pamoja kama kumuumiza sababu aliumiza biashara zao haramu?

Sidhani kama Sabaya pekee ndio alifanya makosa, mbona wengine hawafanywi hivyo?

Mwisho nimsihi Ndugu Tumaini Kweka kuwa kila pando analopanda atalivuna. Naamini anatumika na wachaga wenzie. Lakini ajue kuwa kila analofanya mwanadamu atatoa hesabu mbele za Mungu.
Kweka funga ilo litakataka
 
Back
Top Bottom