MKAKA HALISI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 624
- 1,234
Kwa kawaida mm naona kuvaa chupi bukta then Surual nibora kuliko boxer na surual
Wengi dushe zilipinda, wakaachana nazohuwezi nivisha chupi aisee ni ufala
Ww ushakuwa mtumwa wa mahondaw
Wacheza mpira huko ulaya wanavaa chupiWachina, wahindi na Waasia wengine na hata idadi kubwa ya wazungu wanaume wapo wanaovaa chupi bado.
hahaha eti mtumwaWw ushakuwa mtumwa wa mahondaw
Inategemea aina ya nguo uliyovaa, watu waliojanjaruka uzeeni wanasumbua sanaWengine Tuna Madushe Makubwa Hiyo chupi haifai dushe litachungulia bora boksa. Kwa Wale Wa Underskirt Taiti Imechukua Nafasi Na Unakuwa Huru Zaidi, Haichungulii Kama Underskirt. Kuvaa Underskirt Wakati Taiti Ipo Ni Ushamba. By The Way hii ni mitindo mipya ya mavazi ya siri (faragha)
Nadhani wewe DUNIA kwako ni KARIAKOO tu.Mkuu wapi umekuta zinauzwa siku hzi?
Hata Chupi za kiume zipo nyingi sana.Kwanini za kike ziwepo na za kiume zisiwepo? Kuna watu wanaangalia movie wanadhani ndiyo maisha.Yategemea Ntu na Ntu kwani kwa upande wa Ke kuna wale wanaopenda wakitembea wawe wanavunja shingo za watu
hivyo lazima wasivae hizo Underskirt.
Ila wale waliokulia kwa kujizowesha kuvaa hivi wengi hawajaacha bado labda wale wapenda mambo ya kuiga hasa huku mijini na ndio sababu ukienda madukani bado zipo tofauti na hizo Pichu za Me.
Chupi bhna ni shida umekaa na mma mkwe wako kibarazan anapit mdada mwenye shep athuman anasimma ndan ya chupi na gafla unatakiwa uende ndani hapo ndo shughul inaanza