Wadau naomba nilete kwenu hii mada huru kuhusu hizi kodi za pango tunazowalipa landlords ama kwa lugha za kitaa ' Baba Mwenye Nyuma' nimefanya utafifiti na kugundua kuwa katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati ni Tanzania pekee ambapo mpangaji analazimika kulipia kodi ya mwaka mzima ama miezi sita wakati hakuna sehemu yoyote duniani ambapo mfanyakazi analipwa mshahara wake kwa mwaka in advance.
Naomba ikiwezekana tuanzishe petition ya kumuomba Raisi Magufuli aingilie suala hili ili tuweze kulipia kodi zetu kwa Mwezi kama tunavyolipwa makazini.
Nakaribisha maoni yenu wadau.
Naomba ikiwezekana tuanzishe petition ya kumuomba Raisi Magufuli aingilie suala hili ili tuweze kulipia kodi zetu kwa Mwezi kama tunavyolipwa makazini.
Nakaribisha maoni yenu wadau.