JOHN MADIBA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2011
- 251
- 155
Tanzania ni nchi huru inayokatiba iliyoidhinishwa mwaka 1977 na kurekebisha kila kipindi inapobidi. Kwanini tusiendelee kuirekebisha kama ilivyokua mwanzo. nini hoja ya msingi ya kutaka katiba mpya sasa na sio marekebisho. :bump::msela: