Kwanini TTCL inanisumbua kwenye Live Streaming?

Kahema

JF-Expert Member
May 21, 2010
202
43
Habari wandugu
Kama kuna mwenye uelewa na hili naomba anisaidie. Hua natumia internet kustream live football match, lakini mara nyingi internet inakua slow sana.
Natumia 4G ya TTCL na hua nikitest speed inakua kati ya 25Mbps (downloading) ping inakua kati ya 37+ ila picha inakata kata sana.

Nikitumia Voda 3G kwa speed kati ya 14- 16 Mbps(downloading) atleast unaweza stream hadi nusu saa bila kukatakata picha.

Ninachotaka kujua ni kwanini sipati matokeo mazuri kwa TTCL 4G wakati speed na ping yake ni kubwa kuliko voda 3G?

Asanteni
 
Ping haitakiwi kua kubwa, inatakiwa iwe ndogo, ping maana yake umetuma request (packet) ikaleta response ndani ya muda flani, kwa hiyo kama imeleta response ndani ya milliseconda chache maana yake iko fast.

Kama umesema ukitest unaona 25MBPs tatizo linaweza lisiwe internet yako, ku~livestream inategemea na server inayostream, ikiwa over~loaded na watu kibao at the same time ni obvious kua itakua slow maana inashindwa kuwa~serve wote kwa wakati moja, test nzuri nashauri tumia Youtube kutest, kama unaweza kuona video ya high quality bila shida then your internet is just fine.
 
Ping haitakiwi kua kubwa, inatakiwa iwe ndogo, ping maana yake umetuma request (packet) ikaleta response ndani ya muda flani, kwa hiyo kama imeleta response ndani ya milliseconda chache maana yake iko fast.

Kama umesema ukitest unaona 25MBPs tatizo linaweza lisiwe internet yako, ku~livestream inategemea na server inayostream, ikiwa over~loaded na watu kibao at the same time ni obvious kua itakua slow maana inashindwa kuwa~serve wote kwa wakati moja, test nzuri nashauri tumia Youtube kutest, kama unaweza kuona video ya high quality bila shida then your internet is just fine.

Asante kiongozi
ila kama issue ni server, mbona kwa voda inakua nafuu kidogo kuliko TTCL?
 
Asante kiongozi
ila kama issue ni server, mbona kwa voda inakua nafuu kidogo kuliko TTCL?

Ni wakati huohuo? au unabadilisha kuweka voda baada ya masaa kadhaa ambapo unakuta server ipo na concurrent users wachache? maana 25MBPs siamini kama inaweza kucheza livestream kwa kukwamakwama unless ni streaming ya QHD au 4K kitu ambacho hakipo coz livestream services nyingi hadi leo hii zinastream in 720p, chache sana zinaenda hadi 1080p.
 
Ni wakati huohuo? au unabadilisha kuweka voda baada ya masaa kadhaa ambapo unakuta server ipo na concurrent users wachache? maana 25MBPs siamini kama inaweza kucheza livestream kwa kukwamakwama unless ni streaming ya QHD au 4K kitu ambacho hakipo coz livestream services nyingi hadi leo hii zinastream in 720p, chache sana zinaenda hadi 1080p.

Ni wakati huo huo, ila maranyingi ninaconnect laptop kwenye flat tv natumia hdmi cable
 
voda nimetest kama week iliopita mahala kwangu wana ping 18ms kwa sasa ndio wakali wa ping mitandao yote wapo vizuri kuliko halotel. kwenye streaming ping ni muhimu zaidi pima speed ya voda kwako uangalie ping yake.

Euro nimecheki na Voda mechi almost zote za makundi na haikunisumbua
 
voda nimetest kama week iliopita mahala kwangu wana ping 18ms kwa sasa ndio wakali wa ping mitandao yote wapo vizuri kuliko halotel. kwenye streaming ping ni muhimu zaidi pima speed ya voda kwako uangalie ping yake.

Euro nimecheki na Voda mechi almost zote za makundi na haikunisumbua

sawa kiongozi
nitajaribu nikifika home.
kingine, mbona nikitumia laptop kidogo inakua stable, ila nikiconnect hiyo laptop kwenye screen ndo hali inakua hovyo kabisa.
 
sawa kiongozi
nitajaribu nikifika home.
kingine, mbona nikitumia laptop kidogo inakua stable, ila nikiconnect hiyo laptop kwenye screen ndo hali inakua hovyo kabisa.
ni gpu ya laptop yako mkuu unapoconect laptop inakuwa inadrive display mbili hivyo kuzidiwa.

unatumia windows gani?

tatizo linaweza kuwa gpu ni ndogo au hujaeka tu driver za hio gpu
 
ni gpu ya laptop yako mkuu unapoconect laptop inakuwa inadrive display mbili hivyo kuzidiwa.

unatumia windows gani?

tatizo linaweza kuwa gpu ni ndogo au hujaeka tu driver za hio gpu

natumia window 8
 
voda nimetest kama week iliopita mahala kwangu wana ping 18ms kwa sasa ndio wakali wa ping mitandao yote wapo vizuri kuliko halotel. kwenye streaming ping ni muhimu zaidi pima speed ya voda kwako uangalie ping yake.

Euro nimecheki na Voda mechi almost zote za makundi na haikunisumbua
Kweli kabisa ata mm nilikua nacheki Euro kwa kutumia Voda hasa game za usiku sa 4 vzr kabisa 90min, Halotel nilikua nachek game za sa 10 mchana na za sa moja usiku lkn za sa 4 usiku halotel ilikua inagomagoma sana.
 
natumia window 8
solution ya muda mfupi ukiconect na tv switch off display moja yaani ya laptop halafu uache tv peke yake. kufanya hivi itabidi uende display setting. nenda desktop halafu right click halafu chagua display setting ikifunguka utaweza chagua either utumie display zote mbili au uchague moja tu. hakikisha ukifanya hivyo tv na laptop zote zipo on na umeconect na hdmi sababu tv ikiwa off haitatokea kwenye display setting.

permanent solution nitajie vitu hivi
1. resolution ya tv- angalia mbele ya tv au kwenye box kama kuna maneno kama HD ready, Full HD, UHD etc au 720p, 1080p, 4k etc
2. specs za laptop hasa hasa processor na gpu, nenda my computer halafu right click then properties utaona aina ya processor. pia kama ina gpu kama nvidia au Amd/ati niambie
 
solution ya muda mfupi ukiconect na tv switch off display moja yaani ya laptop halafu uache tv peke yake. kufanya hivi itabidi uende display setting. nenda desktop halafu right click halafu chagua display setting ikifunguka utaweza chagua either utumie display zote mbili au uchague moja tu. hakikisha ukifanya hivyo tv na laptop zote zipo on na umeconect na hdmi sababu tv ikiwa off haitatokea kwenye display setting.

permanent solution nitajie vitu hivi
1. resolution ya tv- angalia mbele ya tv au kwenye box kama kuna maneno kama HD ready, Full HD, UHD etc au 720p, 1080p, 4k etc
2. specs za laptop hasa hasa processor na gpu, nenda my computer halafu right click then properties utaona aina ya processor. pia kama ina gpu kama nvidia au Amd/ati niambie

thanks sana
Ni kweli hua nina display screen zote mbili, nitajaribu kuzima hiyo ya laptop
tv yangu ni full HD , 1080 p
nita confirm hizo spec za laptop nikifika home
ubarikiwe sana.
 
solution ya muda mfupi ukiconect na tv switch off display moja yaani ya laptop halafu uache tv peke yake. kufanya hivi itabidi uende display setting. nenda desktop halafu right click halafu chagua display setting ikifunguka utaweza chagua either utumie display zote mbili au uchague moja tu. hakikisha ukifanya hivyo tv na laptop zote zipo on na umeconect na hdmi sababu tv ikiwa off haitatokea kwenye display setting.

permanent solution nitajie vitu hivi
1. resolution ya tv- angalia mbele ya tv au kwenye box kama kuna maneno kama HD ready, Full HD, UHD etc au 720p, 1080p, 4k etc
2. specs za laptop hasa hasa processor na gpu, nenda my computer halafu right click then properties utaona aina ya processor. pia kama ina gpu kama nvidia au Amd/ati niambie

sorry kiongozi
laptop inatumia window 7 proffessional

processor. intel R core TM(2 Duo CPU T9600 @2.8 GHz

RAM 2GB
 
sorry kiongozi
laptop inatumia window 7 proffessional

processor. intel R core TM(2 Duo CPU T9600 @2.8 GHz

RAM 2GB
mkuu ni laptop za zamani hizo, gpu yake ni weak hivyo hakikisha unatumia display moja usizieke zote mbili.

haina dedicated gpu ya nvidia au amd?
 
voda nimetest kama week iliopita mahala kwangu wana ping 18ms kwa sasa ndio wakali wa ping mitandao yote wapo vizuri kuliko halotel. kwenye streaming ping ni muhimu zaidi pima speed ya voda kwako uangalie ping yake.

Euro nimecheki na Voda mechi almost zote za makundi na haikunisumbua
Hili ni kweli kbs, kwa muda nimekuwa natumia Halotel for football live streaming, ila kuna wakati, video ina kwamakwama sana, nimerudi Voda, ipo very smooth, video kiwango. Mechi za UEFA na EURO nimetumia Voda.
 
25Mbps unapata Buffering?

Siwezi amini hata Ping iwe kubwa ki vipi hivi vitu vinategemeana sana

kama una Ping kubwa basi download speed nayo iwe njema!

i can do Live streams na connection ya 300ms ping tena bila buffering!

kutakua na more explanations hapo na si swala la Ping vs Download speed
 
25Mbps unapata Buffering?

Siwezi amini hata Ping iwe kubwa ki vipi hivi vitu vinategemeana sana

kama una Ping kubwa basi download speed nayo iwe njema!

i can do Live streams na connection ya 300ms ping tena bila buffering!

kutakua na more explanations hapo na si swala la Ping vs Download speed

jana nimejaribu kuzima laptop nikabaki na display ya tv pekee
nimeona improvement kwa ttcl
hapakua na buffering kama ilivyokua , speed ya 23Mbps na ping ya 132
 
Back
Top Bottom