jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Mazoea yana tabu na ukikosa kitu ama jambo ulilolizoea pia huja maswali.
Mimi jitombashisho nataka kujuzwa na TRA ni kwanini takribani miezi miwili sasa hamtoi taarifa juu ya mapato ya kila mwezi?!
Mimi jitombashisho nataka kujuzwa na TRA ni kwanini takribani miezi miwili sasa hamtoi taarifa juu ya mapato ya kila mwezi?!