HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,364
- 94,544
Mmemaliza jengea kaburi?Serikali ya Mama haiwezi kutangaza kwasababu ni aibu!
Mmemaliza jengea kaburi?Serikali ya Mama haiwezi kutangaza kwasababu ni aibu!
Bado.Mmemaliza jengea kaburi?
Wewe ndo tatizo! Ni huduma gani imekwama kwa TRA kutotangaza mapato yake ktk miezi hii 2? Afterall ilikuwa inasaidia nini kutangaziwa makusanyo wakati matumizi huambiwi? CAG akijaribu kudadavua matumizi inakuwa bifu kuanzia kwa Spika wa Bunge hadi Ikulu?We nae unaongea ujinga gani uliona mapato ya serikali yakaingia mfukoni mwa raia inamaana mpaka umri huo ulionao hujui matumizi ya kodi!!!??
Nchi yetu sio zile miongoni mwa zilizoendelea wale walioendelea waacheni na utaratibu wao wakutokutangaza ila sisi masikini nivizuri tukitangaziwa ili tujue kama tunapanda au tunashuka
Nani alianzisha huo utaratibu? Lengo lake lilikua nini? Deni la Taifa kutoka 2015 hadi sasa limekua kwa kiasi gani?Mazoea yana tabu na ukikosa kitu ama jambo ulilolizoea pia huja maswali.
Mimi jitombashisho nataka kujuzwa na TRA ni kwanini takribani miezi miwili sasa hamtoi taarifa juu ya mapato ya kila mwezi?!
Kwahiyo hii imeendelea.Nchi zilizoendelea hazitangazi makusanyo ya kodi kila mwezi.
Mara ya mwisho TRA kutangaza mapato ya nchi ilikuwa mwezi gani? Na nini kilisababisha tangu wakati huo yasitangazwe?Mazoea yana tabu na ukikosa kitu ama jambo ulilolizoea pia huja maswali.
Mimi jitombashisho nataka kujuzwa na TRA ni kwanini takribani miezi miwili sasa hamtoi taarifa juu ya mapato ya kila mwezi?!
Kwani huko nyuma ilikua hela ya naniHela ni ya wananchi hivyo ni vyema wananchi wakafahamu makusanyo. Tunasubiri kusikia toka TRA kwa shauku
Umetokea wapi?? Mars au??Nilikuwa nashangaa sana. Labda kama kulikuwa na lengo mahsusi ila kama ni sababu za kisiasa basi tulikosea sana.
Hata sisi raia wa kawaida tu, total earnings zetu ni siri yetu, halafu tunaibuka kutangaza mapato yote ya nchi? Hata pale kwenye website yao waondoe. Kuwe na taarifa za jumla jumla tu. Detailed reports za mapato kwa nchi sio kabisa. Mapato ya nchi hayana tofauti na military budget or capability.
uongo wa kiwango cha lami,democracy na uwazi ndio silaha ya wazungu.Nchi zilizoendelea hazitangazi makusanyo ya kodi kila mwezi.
jitombe
Ni aibu maana wafanyabiashara wengi siku hizi wanakwepa kodi, risiti wanaandika za vitabu ukiwauliza EFD wapi wanakujibu mashine mbovu kumbe wamezificha. Zitto Kabwe alikuwa bingwa wa kutoa takwimu za makusanyo ya mwezi toka TRA lakini siku hizi hatumsikii. Nina wasiwasi kama makusanyo yanafikia hata trilioni mojaMazoea yana tabu na ukikosa kitu ama jambo ulilolizoea pia huja maswali.
Mimi jitombashisho nataka kujuzwa na TRA ni kwanini takribani miezi miwili sasa hamtoi taarifa juu ya mapato ya kila mwezi?!
Bora wakivyotangaza japo wakitangaza kwa qoutor sio mbaya kuliko kuja Zitto Kabwe wakatuambia tumekusanya Billion 3 kutoka Trillion 1.4.Tabia ya kujimwambafai tulisha iacha sasa ni mpya na mambo mapya.
Wala sio vibaya hiyo si ndiyo tunasema uwazi? Pesa hizo si za umma? Ata kule Serikali z Mitaa Wenyeviti wanasisitizwa kutangaza mapato na matumizi, kwenye NGo's ndiyo kabisa unaambiwa kwenye ubao wa matangazo wabandike kabisa sasa leo hatutaki kusikia tulichokusanya mwa miezi mitatu..!! Sina hakika kama Watanzania wanajua wanataka niniNilikuwa nashangaa sana. Labda kama kulikuwa na lengo mahsusi ila kama ni sababu za kisiasa basi tulikosea sana.
Hata sisi raia wa kawaida tu, total earnings zetu ni siri yetu, halafu tunaibuka kutangaza mapato yote ya nchi? Hata pale kwenye website yao waondoe. Kuwe na taarifa za jumla jumla tu. Detailed reports za mapato kwa nchi sio kabisa. Mapato ya nchi hayana tofauti na military budget or capability.
Matumizi Bajeti ilishipitishwa mzee mwisho wa mwaka wa fedha tunaweza kujumlisha wenyewe tulichokusanya kutokana na makusanyo ya kodi.Wewe ndo tatizo! Ni huduma gani imekwama kwa TRA kutotangaza mapato yake ktk miezi hii 2? Afterall ilikuwa inasaidia nini kutangaziwa makusanyo wakati matumizi huambiwi? CAG akijaribu kudadavua matumizi inakuwa bifu kuanzia kwa Spika wa Bunge hadi Ikulu?