FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Kusema kweli serikali inapoteza mapato ktk mitañdao ya kijamii,kwa nini isichukue mia moja au mia mbili ili tuchangie madawa,maji na huduma zingine.
Tuseme kweli kumbe uchumi mzuri maana hatukosekani online, na tuna makundi ya WhatsApp lukuki,sasa tumekosa nini tukichangia kama wafanyavo Uganda.
Tuseme kweli kumbe uchumi mzuri maana hatukosekani online, na tuna makundi ya WhatsApp lukuki,sasa tumekosa nini tukichangia kama wafanyavo Uganda.