chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,713
Siri gani ambayo na jaribu kufikilia kwangu, kila siku tuna somesha watu ila baada ya kuvuna tuliyo somesha tunavuna siasa na IQ za kuojiwa na masanja.
Kuna teknolojia nyingi ambazo dunia kama uzipinga,labda itakuja hasara kupata mapato na baishara.
Mfano mkubwa wa jenereta inayofua umeme bila kutumia mafuta, maji kwa ajili ya kusukuma au nguvu ya nyuklia na n.k
Hizi zote utumia mabilioni ya pesa na wataalamu wakila idara ilikupata nishati ya umeme.
Umeme unao jifua wenyewe ni wakushangaza sana huwezi kuisha uwezi kusema maji, mafuta sijui nini labda ukate waya tu
Teknolojia hii kiutaalamu utengenezwa na mota ya kuzunguka + mota ya kuzalisha umeme.ambapo mekanizimu ya hiyo kama mota inaweza kuzunguka kwa volti 120 ikizungusha moto ya kuzaa umeme ikatoa umeme volt 500
Mota ya kutoa umeme A=500volt
mota ya kuzunguka B=120volt
A-B=(kuna mashine ya kuchakata na kutenganisha umeme ubaki na umeme wako) ambapo unapata 380 volt
Wataalamu wa umeme
Wanazengo tujadili
Kuna teknolojia nyingi ambazo dunia kama uzipinga,labda itakuja hasara kupata mapato na baishara.
Mfano mkubwa wa jenereta inayofua umeme bila kutumia mafuta, maji kwa ajili ya kusukuma au nguvu ya nyuklia na n.k
Hizi zote utumia mabilioni ya pesa na wataalamu wakila idara ilikupata nishati ya umeme.
Umeme unao jifua wenyewe ni wakushangaza sana huwezi kuisha uwezi kusema maji, mafuta sijui nini labda ukate waya tu
Teknolojia hii kiutaalamu utengenezwa na mota ya kuzunguka + mota ya kuzalisha umeme.ambapo mekanizimu ya hiyo kama mota inaweza kuzunguka kwa volti 120 ikizungusha moto ya kuzaa umeme ikatoa umeme volt 500
Mota ya kutoa umeme A=500volt
mota ya kuzunguka B=120volt
A-B=(kuna mashine ya kuchakata na kutenganisha umeme ubaki na umeme wako) ambapo unapata 380 volt
Wataalamu wa umeme
Wanazengo tujadili