Kwanini teknolojia ambazo si biashara hupingwa mfano wa umeme unaojizalisha wenyewe bila kutumia nishati yoyote tunazo zifahamu

Yani ni sawa na kuweka battery ya sola uweke inveta ikuze umeme uangalie tv na vitu vingne kisha pale pale uweke charger iweze kuchaji ile battery umeme kutoka kwenye inveta ..ukitegemea cycle itaendelea na umeme hutoishA
Kuna jamaa moja alisema eti ili maji ya mabwawa kama kidatu yasiishe, kuwa na pump kubwa ambayo itakuwa inayarudisha bwawani hivyo kuna na endless cycle ya kutoa umeme
 
Total rubbish,hakuna kitu Kama hicho,
Ipo Sheria moja kwa wale waliosomea uhandisi wa umeme,"energy can not be created,but it can be transformed from one form to another"
Hiyo ni kanuni,inayotumika katika kuzalisha nishati,iwe ya umeme,joto,kimakanika,mwanga,nk.
Aliye waza hili,alitaka kufanya kile kinachotokea kwenye diesel engine,mfano kwenye gari,unaweka switch,kwa kutumia betri na motor,unazungusha injini,injini ikianza kuzunguka,motor na battery havina kazi Tena,lakini kinachomfsnya injini,iendelee kuzunguka,ni nishati ya kikemikali kutoka kwenye petrol au diesel inayochomwa ndani ya injini.
Battery na motor zilitumika kuanzisha huo mchakato tu,
Kwahiyo hapa,ni nishati ya kemikali inabadilishwa kuwa nishati ya mwendo/kimakenika(gari)au nishati ya umeme(genereta),
Uwezi kutengeneza nishati kutoka kwenye utupu,lazima kuwe na mabadiriko,kutoka aina moja kwenda nyingine
mliosoma HGL mumeambulia chochote hapa?
 
Kuna jamaa moja alisema eti ili maji ya mabwawa kama kidatu yasiishe, kuwa na pump kubwa ambayo itakuwa inayarudisha bwawani hivyo kuna na endless cycle ya kutoa umeme
Nilishawahi waza hivo ..nikamwambia mtu akanambia hio haipo nikaona kama ananiletea usiku 😁 badae nikaona ni sawa...

Tena nishawaza kuwa na ka pipa nyumbani moja juu jingine chini maji yakishuka yafue umeme kisha mota irudishe juu😁 na mm nipate umeme usioisha 🤔 kumbe ni utopolo
 
Alafu tesla ndio ushangaza kwa nini gari zinakwenda mda mrefu zikitumia umeme.soma hii cycle electric .hata magari yetu sijui kitaalamu ila bettry uwezi kukuta limekishwa
Tesla battery zake zinawahi kuisha chaji tofauti na mtumiaji wa gari la mafuta, youtube Tesla road trips uone.
 
Nilishawahi waza hivo ..nikamwambia mtu akanambia hio haipo nikaona kama ananiletea usiku 😁 badae nikaona ni sawa...

Tena nishawaza kuwa na ka pipa nyumbani moja juu jingine chini maji yakishuka yafue umeme kisha mota irudishe juu😁 na mm nipate umeme usioisha 🤔 kumbe ni utopolo
Hesabu rahisi. Utatumia pipa moja na nusu kurudishia pipa moja.
 
Voltage regulator ni kifaa chochote au mfumo waa vifaa ambao kazi yake ni kuhakikisha voltage ya umeme haizidi kiwango kinachohitajika .

Sijajua bado mantiki ya swali lako maana unauliza maswali ya kawaida mno.
Huyu mkuu naona anataka mambo ya sine wave na sinusoidal phase labda ataelewa maana ana maswali ya kawaida na anaelimishwa ila aelimiki.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Nachukia sana anayebisha kwa kusema alifundishwa..., sasa nani anapenda uelewe zaidi ya ukalili?
Hili linawezekana kabisa maana hiyo mota itataka umeme na jirani yake atataka mzunguko sasa hauoni wanaweza kugawana, cha muhimu we anzisha tu mzunguko hapo zianze kugawana huku nawewe ukipata share ya umeme, shuleni hatufundishwi tunakalilishwa bwana, yaani nilivyoona tu maelezo ya mtoa post nikakubali, picha zenye hesabu kamili ndizo kabisaa kanikumbusha mbali maana hili jambo(japo sio kabisa kama hili) niliwahi kulifikiria enzi nasoma ila nikakosa
  1. Vifaa
  2. Msaada
  3. Pakuanzia
Vitu vingine vinawezekana ila(narudi kwenye maada) hauwezi kutoboa maana utaua soko la wenzako wanaokutumia wewe kama faida kwao, mkisema hayo mbona tumekuta vinu vya kutumia mikono kwa muda usio na mipaka lakini wenzetu wakaleta mashine ambazo zinakufa baada ya muda fulani ili ununue, urekebishe wao wakuuzie vifaa na mafuta wapate kukuza uchumi
Kwanza hata mafuta ni swala tu walitest wakaona linaweza kuendana na walichowaza hata maji wangeweza ila upo nayo hapo utawachangia vipi hela wao?
Haya nimesema tu kuwakumbusha wote mliobisha kwa kigezo cha mlifundishwa, mtaniambia Afrika hakukuwa na watu mpaka waje wazungu kugundua Mlima Kilimanjaro na Ziwa Victory?
 
Nachukia sana anayebisha kwa kusema alifundishwa..., sasa nani anapenda uelewe zaidi ya ukalili?
Hili linawezekana kabisa maana hiyo mota itataka umeme na jirani yake atataka mzunguko sasa hauoni wanaweza kugawana, cha muhimu we anzisha tu mzunguko hapo zianze kugawana huku nawewe ukipata share ya umeme, shuleni hatufundishwi tunakalilishwa bwana, yaani nilivyoona tu maelezo ya mtoa post nikakubali, picha zenye hesabu kamili ndizo kabisaa kanikumbusha mbali maana hili jambo(japo sio kabisa kama hili) niliwahi kulifikiria enzi nasoma ila nikakosa
  1. Vifaa
  2. Msaada
  3. Pakuanzia
Vitu vingine vinawezekana ila(narudi kwenye maada) hauwezi kutoboa maana utaua soko la wenzako wanaokutumia wewe kama faida kwao, mkisema hayo mbona tumekuta vinu vya kutumia mikono kwa muda usio na mipaka lakini wenzetu wakaleta mashine ambazo zinakufa baada ya muda fulani ili ununue, urekebishe wao wakuuzie vifaa na mafuta wapate kukuza uchumi
Kwanza hata mafuta ni swala tu walitest wakaona linaweza kuendana na walichowaza hata maji wangeweza ila upo nayo hapo utawachangia vipi hela wao?
Haya nimesema tu kuwakumbusha wote mliobisha kwa kigezo cha mlifundishwa, mtaniambia Afrika hakukuwa na watu mpaka waje wazungu kugundua Mlima Kilimanjaro na Ziwa Victory?
It can be
 
Maneno utaki,ushaidi utaki,picha utaki.ok tubaki kimya ndio yo tunaweza.
Kuanza kuijua hii ni kutana nazo nilipo kuwa nje .na watu wengi wanazitumia kwa mambo yao.
Basi tumefunga mjadala
Kumbe kuna watu wanautumia huu umeme
 
Back
Top Bottom