MtuloBM
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 542
- 477
Kwa akili yako, unaamini kuwa waweza kufua nishati bila ya kuwa na chanzo cha nishati?
Ndio inawezekana niliwahi Jaribu nikiwa mtoto. Kuna Mamb yaligoma na nikahis haiwezekani. Nikasema kama ingewezekana basi dunia ingefanya. Leo nimegundua nilkuwa sawa.