Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau wote tunajua TBC ni televisheni ya serikali Watanzania wote kodi zao pamoja na kodi za Mbowe na wenzake zinatumiwa na TBC.
TBC imekuwa inatangaza kesi mbalimbali lakini toka mahakama ya uhujumu uchumi ianze kusikiliza kesi ya Mh. Mbowe na wenzake hakuna hata siku TBC imeripoti juu ya mwenendo wa kesi hiyo wakati ni haki ya wananchi kuhabarishwa na chombo wanachokichangia kodi wananchi.
Naipongeza ITV kwa kutuhabarisha watanzania mpaka tumejua kuwa Mh. Mbowe na wenzake wananyimwa chakula hakika ni ukatili na unyama uliopitiliza.
Wenye mamlaka kumbueni dunia ni mapito mbinguni kila mtu atajitetea kivyake hakuna kusema ulitumwa au uliagizwa.
Gen. Sabaya licha ya kusema aliagizwa na wakubwa miaka 30 anaitumikia pekee yake.
TBC imekuwa inatangaza kesi mbalimbali lakini toka mahakama ya uhujumu uchumi ianze kusikiliza kesi ya Mh. Mbowe na wenzake hakuna hata siku TBC imeripoti juu ya mwenendo wa kesi hiyo wakati ni haki ya wananchi kuhabarishwa na chombo wanachokichangia kodi wananchi.
Naipongeza ITV kwa kutuhabarisha watanzania mpaka tumejua kuwa Mh. Mbowe na wenzake wananyimwa chakula hakika ni ukatili na unyama uliopitiliza.
Wenye mamlaka kumbueni dunia ni mapito mbinguni kila mtu atajitetea kivyake hakuna kusema ulitumwa au uliagizwa.
Gen. Sabaya licha ya kusema aliagizwa na wakubwa miaka 30 anaitumikia pekee yake.