GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,385
- 108,455
Hivi hizi Hasira zake na haya Machungu yake dhidi ya Kuutaka kwa udi na uvumba huku akiwa ameshapoteza sifa na matumaini angezihamishia katika Kuyazungumzia Matatizo Sugu ya Wakazi wa Jimbo lake la Kinondoni leo hii asingeshukuriwa na Kupendwa zaidi na Wapiga Kura wake?
Kwa jinsi Mbunge Tarimba Abbas anavyohangaika na TFF huku akiuota Urais wake kuna Uwezekano labda Yeye si Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na akawa ni Mbunge wa Kinondoni Football Club Yanga Utopolo Sports Club na Wananchi wengi hatulijui hili.
Wallace Karia miaka Minne (4) tena kama Rais wa TFF. Anayemchukia Karia atakuwa ana Roho ya Kichawi na Akili zake ni za 'Kipa Katoka' pia.
Kwa jinsi Mbunge Tarimba Abbas anavyohangaika na TFF huku akiuota Urais wake kuna Uwezekano labda Yeye si Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na akawa ni Mbunge wa Kinondoni Football Club Yanga Utopolo Sports Club na Wananchi wengi hatulijui hili.
Wallace Karia miaka Minne (4) tena kama Rais wa TFF. Anayemchukia Karia atakuwa ana Roho ya Kichawi na Akili zake ni za 'Kipa Katoka' pia.