Yusuf Kashaju
Member
- Oct 20, 2019
- 57
- 89
Wasalaam,
Nimeshangaa kuona kupitia bajeti ya 2021/22 serikaliri inaondoa kodi kwenye nyasi bandia ili kuhamasisha matumizi yake nchini, cha kushangaza sera hii imeungwa mkono na wabunge kama kwamba hawana uelewa wa masuala ya kimataifa ya mpira, hata TFF sikuwasikia wakitia neno wakati wanajua FIFA na mataifa ya Magharibi wamekataa kutumia nyasi hizo kwenye viwanja vya mpira wa miguu.
Kuna wakati fifa ilitaka zitumike wakati wa mishindano ya wanawake, nao wakakaa kuwa FIFA isiwafanyie majaribio. Sasa sisi Tanzania tumefanya utafiti ili kujua kwa nini FIFA hawazitumii na mataifa ya magharibi kwanini hawakubali kutumiwa kwa nyasi hizo bandia ktk viwanja vyao?
Nimeshangaa kuona kupitia bajeti ya 2021/22 serikaliri inaondoa kodi kwenye nyasi bandia ili kuhamasisha matumizi yake nchini, cha kushangaza sera hii imeungwa mkono na wabunge kama kwamba hawana uelewa wa masuala ya kimataifa ya mpira, hata TFF sikuwasikia wakitia neno wakati wanajua FIFA na mataifa ya Magharibi wamekataa kutumia nyasi hizo kwenye viwanja vya mpira wa miguu.
Kuna wakati fifa ilitaka zitumike wakati wa mishindano ya wanawake, nao wakakaa kuwa FIFA isiwafanyie majaribio. Sasa sisi Tanzania tumefanya utafiti ili kujua kwa nini FIFA hawazitumii na mataifa ya magharibi kwanini hawakubali kutumiwa kwa nyasi hizo bandia ktk viwanja vyao?