kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Tanzania inatumia gharama kubwa kuzuia karafuu, mahindi, kahawa, ng'ombe, madini na bidhaa nyingine zisivushwe nje ya mipaka yake na wakulima, wafugaji na wachimbaji wadogo Wa madini kwa lengo la kutafuta soko na bei nzuri za bidhaa zao.
Kwanini tusitafute kwanini watu wanataka kuvusha bidhaa zao nje ya nchi?
Kwanini tusitafute kwanini watu wanataka kuvusha bidhaa zao nje ya nchi?