Ni kawaida kabisa hapa Tanzania kukuta watu wameajiriwa/teuliwa kwa kazi ambazo hawajazisomea eti kwamba watapata uzoefu kazini,Mfano wakurugenzi wa Taasisi za umma hata za binafsi.Daktari wa kutibu watu kuwa Mkuu wa Wilaya/Mkoa.Ili kuleta ufanisi si ni vyema mtu apewe kazi aliyosomea ili aweze kutimia ujuzi wake kwa maendeleo ya Taifa?Wana JF mnaonaje hili?