Kwanini Tanzania hatutengenezi magari?

Samwel Ngulinzira

JF-Expert Member
Aug 5, 2017
1,829
1,958
Nimekaa nimetafakari sana ni kwa nini Tanzania hatutengenezi magari ila nmeshindwa kupata majibu.
1. Kuna raw materials za kutosha. raw material kubwa ni chumba na tuna maeneo mengi ambayo chuma kinapatikana kama tunaweza kutengeneza mabati na nondo kwa nini tushindwe magari?
2. Soko. soko la ndani ni zuri kwa upande wa fuel efficient cars pia soko la nje ni zuri hasa kwa gari ambazo zina nguvu kwa sababu majirani zetu (rwanda, burundi and drc) wana milima na tope hivyo wanahitaji gari strong.
3. Umeme ingawa unasuasua lakini miradi iliyopo inaleta matumaini. lakini kama dangote kafanya uwekezaji mkubwa hivyo kwa nini inakua ngumu kupata kiwanda ata cha kutengeneza spare parts?
4. Miundombinu kwa ujumla sio mibaya nadhani inavutia wawekezaji.

Kwa nini tusijenge ata kiwanda cha bajaj au pikipiki?
kama mtu anauwezo wa kuagiza toyota vitz Japan kwa milion 12 sidhani kama atashindwa kununua Suzuki maruti made in Tanzania.
kama bajaj inauzwa milioni saba nadhani ikitengenezwa hapa nchini itakua cheap zaidi ya hapo. naomba wale ambao mpo kwenye industry ya magari mnitoe tongotongo. ina maana ata kiwanda cha kuassemble magari inakua ngumu?
 
Unahitaji zaidi ya hizo rasilimali ili kuweza kutengeneza gari/magari.

Unless labda unazungumzia ‘assembly plant’.

Lakini kama unazungumzia kutengeneza magari ya Kitanzania from scratch....

Well....then you need a whole lot more than just raw materials or whatever.

Say ‘ingenuity’ or ‘brains’.

I’m just sayin’.
 
Nimekaa nimetafakari sana ni kwa nini Tanzania hatutengenezi magari ila nmeshindwa kupata majibu.
1. Kuna raw materials za kutosha. raw material kubwa ni chumba na tuna maeneo mengi ambayo chuma kinapatikana kama tunaweza kutengeneza mabati na nondo kwa nini tushindwe magari?
2. Soko. soko la ndani ni zuri kwa upande wa fuel efficient cars pia soko la nje ni zuri hasa kwa gari ambazo zina nguvu kwa sababu majirani zetu (rwanda, burundi and drc) wana milima na tope hivyo wanahitaji gari strong.
3. Umeme ingawa unasuasua lakini miradi iliyopo inaleta matumaini. lakini kama dangote kafanya uwekezaji mkubwa hivyo kwa nini inakua ngumu kupata kiwanda ata cha kutengeneza spare parts?
4. Miundombinu kwa ujumla sio mibaya nadhani inavutia wawekezaji.

Kwa nini tusijenge ata kiwanda cha bajaj au pikipiki?
kama mtu anauwezo wa kuagiza toyota vitz Japan kwa milion 12 sidhani kama atashindwa kununua Suzuki maruti made in Tanzania.
kama bajaj inauzwa milioni saba nadhani ikitengenezwa hapa nchini itakua cheap zaidi ya hapo. naomba wale ambao mpo kwenye industry ya magari mnitoe tongotongo. ina maana ata kiwanda cha kuassemble magari inakua ngumu?
mkuu tuwe wakweli hivi ni watz wangapi wana kipato cha kuweza kununua magari mapya kiasi ya kwamba kiwanda hicho cha magari kikaweza kupata faida?? takwimu zinaonyesha katika watanzania 100, 92 wanategemea kuishi kwa kuwategeme watanzania 8. Kwa takwimu hizi kampuni gani itaweka kiwanda cha magari Tz? Nchi yetu watu wengi kupata hela ya kula tu sheeeda we unazungumzia watu hao wanunue gari jipya???? India na South Africa hawa wana kampuni zinatengeneza magari kwa ajili yao mfano suzuki maruti sasa cheki kiuchumi kama tunalingana au hata kuwakaribia. Kenya wenye kipato cha kati ni wengi angalau. Hivi viwanda vya wembe, sindano na visu hatuna sembuse magari??
 
Toyota corolla 2018 base price ni $18,500 hujajumlisha na kodi,hio gari sijui hata wabongo wangapi wange afford hata kama ingekua inazalishwa bongo hapahapa.
 
Toothpick tu hatuwezi kutengeneza japokuwa kuna misitu tele, mfano SAOHILL (kwa wale mnaopafahamu mafinga),

Itakuwa magari jamani, punguza stress za kuwa shortlisted kwenye interview za wale wanaokaa kwenye mlango wa daladala
 
Mkuu si uulize toothpics? Unaulizia magari wakati kuna jamaa alisema ametengeneza helicopter akambiwa na TCRA labda airushe kwenye anga lake.

CCM ni chama cha hovyo sana, wamekalia uongo na umbea tu kwamba tuna viwanda 300 na ukiwauliza vunatengeneza nini watatamani wakuambie tunatengeneza ng'ombe.

Tuna Rais wa ajabu kweli kweli, hatuwezi kufanya lolote tukiwa na mtu anayeamini kuwa ana akili kuliko wote na kila neno lake ni sheria.
 
Nimekaa nimetafakari sana ni kwa nini Tanzania hatutengenezi magari ila nmeshindwa kupata majibu.
1. Kuna raw materials za kutosha. raw material kubwa ni chumba na tuna maeneo mengi ambayo chuma kinapatikana kama tunaweza kutengeneza mabati na nondo kwa nini tushindwe magari?
2. Soko. soko la ndani ni zuri kwa upande wa fuel efficient cars pia soko la nje ni zuri hasa kwa gari ambazo zina nguvu kwa sababu majirani zetu (rwanda, burundi and drc) wana milima na tope hivyo wanahitaji gari strong.
3. Umeme ingawa unasuasua lakini miradi iliyopo inaleta matumaini. lakini kama dangote kafanya uwekezaji mkubwa hivyo kwa nini inakua ngumu kupata kiwanda ata cha kutengeneza spare parts?
4. Miundombinu kwa ujumla sio mibaya nadhani inavutia wawekezaji.

Kwa nini tusijenge ata kiwanda cha bajaj au pikipiki?
kama mtu anauwezo wa kuagiza toyota vitz Japan kwa milion 12 sidhani kama atashindwa kununua Suzuki maruti made in Tanzania.
kama bajaj inauzwa milioni saba nadhani ikitengenezwa hapa nchini itakua cheap zaidi ya hapo. naomba wale ambao mpo kwenye industry ya magari mnitoe tongotongo. ina maana ata kiwanda cha kuassemble magari inakua ngumu?
Sababu ni kwamba akili ndogo inaongoza akili kubwa..!
 
Hichi kitu hakiwezekani na haitakaa kiwezekana kwenye nchi ya ovyo yenye utawala wa ovyo kama hii.

Wewe raisi wenu anataka wote muwe masikini hili awatawale vizuri atakavyo yeye alafu wewe unaongelea kutengeneza magari mtawauzia akina nani hizo?

Nyie endeleeni kwanza kushangilia ununuzi wa Ndege wakati huo wenzenu Ethiopia wanazindua rocket yao hivi karibuni ambayo itakuwa inaenda hadi kwenye space huko.
 
Gari hizo zitanunulika tu hapana shaka ingawa kwa gharama za kuendesha kiwanda inatakiwa watu waweze kununua gari walau 100 kila mwaka.

Kibongo bongo kuna watu wanaendesha mpaka gari za million 600 barabarani tena private achilia mbali wenye gari za million 70-150 (prado,jeep cherokee,touareg,discovery series,land cruiser VX,LX) ni wengi mno na hio ni kwa dar tu achilia mwanza na Arusha.

Hivyo hilo swala la kudai kuwa watu hawatamudu gharama za kununua siliafiki kama kutakuwa na gari zinazoendana na vipato tofauti vya wananchi.

Wakiwa na plans nzuri mbona yanawezekana, unanunua gari mpya 0 kms under warranty safi kabisa. Nikupe mfano kwa hizi economical cars (gari pendwa) kama passo, swift cheap kabisa hata ukifanya evaluation ya kodi na gharama na manunuzi ya used kwa 2017 model haitozidi million 18 ushaitia mkononi na ni toleo la mwaka jana import kutoka japan.

Kodi ya passo.
Screenshot_2018-04-12-05-59-49.png



Kodi ya suzuki swift.
Screenshot_2018-04-12-06-31-34.png
 
Toyota corolla 2018 base price ni $18,500 hujajumlisha na kodi,hio gari sijui hata wabongo wangapi wange afford hata kama ingekua inazalishwa bongo hapahapa.
"Don't judge a book by its cover" nmetembelea CMC Autombile ambako magari yanayouzwa ni Land Rover Range rover, Discovery, Renault, Kwid na nyingine ambazo zote ni O km, ukiangalia mauzo yao ni tofauti na maelezo yako.
Gari ya dola 110,000 (milioni 250) lakini haimalizi wiki
 
Soko lipo kazi kwetu. India kuanzia milioni saba unapata TATA mpya ile size kama ya starlet. Pikipiki mpya ile batavuzi unapata mpya kuanzia laki 8 pale India. Hizo ni bei chee kuliko magari used tunayonunua Japan na hizi pikipiki.
 
Kama tunawaza soko la ndani peke yake, bora tusijaribu kabisa. Tukiamua kutengeneza magari inabidi yawe ni ya kiwango kiasi kwamba tutayauza nje ya nchi pia. Bidhaa ikiwa bora soko litapatikana tu.
 
"Don't judge a book by its cover" nmetembelea CMC Autombile ambako magari yanayouzwa ni Land Rover Range rover, Discovery, Renault, Kwid na nyingine ambazo zote ni O km, ukiangalia mauzo yao ni tofauti na maelezo yako.
Gari ya dola 110,000 (milioni 250) lakini haimalizi wiki
Katika ndugu zako/marafiki zako/wewe mwenyewe kuna ambae unamfahamu aliyewahi kununua gari lenye 0 km?
 
Gari mpya 0 km ni watu wachache sana wanaweza mudu.Hapa mbeya sijaona gari zaidi ya 10 new models za watu binafsi.
 
Nimekaa nimetafakari sana ni kwa nini Tanzania hatutengenezi magari ila nmeshindwa kupata majibu.
1. Kuna raw materials za kutosha. raw material kubwa ni chumba na tuna maeneo mengi ambayo chuma kinapatikana kama tunaweza kutengeneza mabati na nondo kwa nini tushindwe magari?
2. Soko. soko la ndani ni zuri kwa upande wa fuel efficient cars pia soko la nje ni zuri hasa kwa gari ambazo zina nguvu kwa sababu majirani zetu (rwanda, burundi and drc) wana milima na tope hivyo wanahitaji gari strong.
3. Umeme ingawa unasuasua lakini miradi iliyopo inaleta matumaini. lakini kama dangote kafanya uwekezaji mkubwa hivyo kwa nini inakua ngumu kupata kiwanda ata cha kutengeneza spare parts?
4. Miundombinu kwa ujumla sio mibaya nadhani inavutia wawekezaji.

Kwa nini tusijenge ata kiwanda cha bajaj au pikipiki?
kama mtu anauwezo wa kuagiza toyota vitz Japan kwa milion 12 sidhani kama atashindwa kununua Suzuki maruti made in Tanzania.
kama bajaj inauzwa milioni saba nadhani ikitengenezwa hapa nchini itakua cheap zaidi ya hapo. naomba wale ambao mpo kwenye industry ya magari mnitoe tongotongo. ina maana ata kiwanda cha kuassemble magari inakua ngumu?
matili za kutosha lakini je ziko wapi hata hizo gari mkitengeneza sidhani kama mtauza bei rahisi kwa nchi yenye watawala wa ajabu ikiwa viwanda vyenyewe vya sabuni chumvi tomato vilivyopo vyote vinakaribia kifa kisa undeshaji kodi kubwa kuliko mauzo , vimetushinda vya tanzania vilikuwa vya kusaidia kumweka rais pale alipo .
 
Back
Top Bottom