Kwanini Tanzania hatuna majengo ya kifahari, minara, na makumbusho zinazotambulika duniani?

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,407
54,886
..Majengo au minara ya kifahari ni utambulisho kwa miji mikubwa na hata nchi mbalimbali.

..Nitatoa mifano michache.

..Mnara wa Eiffel ndiyo utambulisho wa jiji la Paris.

..Haiyumkini mtu anasema amefika Paris, swali atakaloulizwa ni kama aliuona mnara wa Eiffel.

..Upo mnara wa Washington ambao ndiyo kitambulisho cha jiji la Washington DC.

..Washington DC wametunga sheria maalum kwamba ktk jiji hilo ni mwiko kujenga jengo refu kushinda Washington Monument.

..minara, majengo ya kifarahari, na makumbusho yenye kuvutia, siyo kwamba yako pale kupamba muonekano wa miji husika tu, bali ni VITEGA UCHUMI vinavyoingizia serekali na wananchi mapato makubwa.

..Kwanini ni vitega uchumi? Kwasababu ya kutembelewa na watalii wengi wa ndani na nje ya nchi.

..Kutembelea minara au makumbusho huwa ni BURE. Lakini kuna biashara nyingi ndogo-ndongo na kubwa zinazohudumia mamilioni ya watalii wa ndani na nje wanaotembelea, Eiffel tower (Paris), Washington Monument(Wash DC), Statue of Liberty(New York), Buckingham Palace(London), jumba la Taj Mahal(India), etc etc.

..Ningeweza pia kutaja makumbusho mbalimbali zilizosheni nyara mbalimbali za kihistoria, kazi za sanaa, na hata kumbukumbu za kisayansi na kiutafiti.

..Hata linapokuja suala la UZALENDO, naamini minara ya kumbukumbu, na makumbusho ya kihistoria, inaweza kuwa sehemu ya kuwafundisha, na kuwajenga, vijana wetu.

..Tunapofikiria kuhamia Dodoma tufikirie pia na kujenga mji uliopangika vizuri, na wenye sifa, vigezo, na vivutio, kama majiji mengine ktk nchi za wenzetu.

NB.

..Nikipata muda nitawatumia takwimu za idadi wa watalii wanaovutiwa na maeneo niliyoyataja hapo juu.

Mzee Mwanakijiji, Pascal Mayalla, Nguruvi3, Kiranga, Nyani Ngabu, chige, Mgambilwa ni mntu ,YEHODAYA
 
..Majengo au minara ya kifahari ni utambulisho kwa miji mikubwa na hata nchi mbalimbali.

..Nitatoa mifano michache.

..Mnara wa Eiffel ndiyo utambulisho wa jiji la Paris.

..Ndiyo maana mtu anaposema amefika Paris, swali atakaloulizwa ni kama aliuona mnara wa Eiffel.

..Upo mnara wa Washington ambao ndiyo kitambulisho cha jiji la Washington DC.

..Washington DC wametunga sheria maalum kwamba ktk jiji hilo ni mwiko kujenga jengo refu kushinda Washington Monument.

..minara, majengo ya kifarahari, na makumbusho yenye kuvutia, siyo kwamba yako pale kupamba muonekano wa miji husika tu, bali ni VITEGA UCHUMI vinavyoingizia serekali na wananchi mapato makubwa.

..Kwanini ni vitega uchumi? Kwasababu ya kutembelewa na watalii wengi wa ndani na nje ya nchi.

..Kutembelea minara au makumbusho huwa ni BURE. Lakini kuna biashara nyingi ndogo-ndongo na kubwa zinazohudumia mamilioni ya watalii wa ndani na nje wanaotembelea, Eiffel tower (Paris), Washington Monument(Wash DC), Statue of Liberty(New York), Buckingham Palace(London), jumba la Taj Mahal(India), etc etc.

..Ningeweza pia kutaja makumbusho mbalimbali zilizosheni nyara mbalimbali za kihistoria, kazi za sanaa, na hata kumbukumbu za kisayansi na kiutafiti.

..Hata linapokuja suala la UZALENDO, naamini minara ya kumbukumbu, na makumbusho ya kihistoria, inaweza kuwa sehemu ya kuwafundisha, na kuwajenga, vijana wetu.

..Tunapofikiria kuhamia Dodoma tufikirie pia na kujenga mji uliopangika vizuri, na wenye sifa, vigezo, na vivutio, kama majiji mengine ktk nchi za wenzetu.

NB.

..Nikipata muda nitawatumia takwimu za idadi wa watalii wanaovutiwa na maeneo niliyoyataja hapo juu.

Mzee Mwanakijiji, Pascal Mayalla, Nguruvi3, Kiranga, Nyani Ngabu, chige, Mgambilwa ni mntu ,YEHODAYA
 
..Majengo au minara ya kifahari ni utambulisho kwa miji mikubwa na hata nchi mbalimbali.

..Nitatoa mifano michache.

..Mnara wa Eiffel ndiyo utambulisho wa jiji la Paris.

..Haiyumkini mtu anasema amefika Paris, swali atakaloulizwa ni kama aliuona mnara wa Eiffel.

..Upo mnara wa Washington ambao ndiyo kitambulisho cha jiji la Washington DC.

..Washington DC wametunga sheria maalum kwamba ktk jiji hilo ni mwiko kujenga jengo refu kushinda Washington Monument.

..minara, majengo ya kifarahari, na makumbusho yenye kuvutia, siyo kwamba yako pale kupamba muonekano wa miji husika tu, bali ni VITEGA UCHUMI vinavyoingizia serekali na wananchi mapato makubwa.

..Kwanini ni vitega uchumi? Kwasababu ya kutembelewa na watalii wengi wa ndani na nje ya nchi.

..Kutembelea minara au makumbusho huwa ni BURE. Lakini kuna biashara nyingi ndogo-ndongo na kubwa zinazohudumia mamilioni ya watalii wa ndani na nje wanaotembelea, Eiffel tower (Paris), Washington Monument(Wash DC), Statue of Liberty(New York), Buckingham Palace(London), jumba la Taj Mahal(India), etc etc.

..Ningeweza pia kutaja makumbusho mbalimbali zilizosheni nyara mbalimbali za kihistoria, kazi za sanaa, na hata kumbukumbu za kisayansi na kiutafiti.

..Hata linapokuja suala la UZALENDO, naamini minara ya kumbukumbu, na makumbusho ya kihistoria, inaweza kuwa sehemu ya kuwafundisha, na kuwajenga, vijana wetu.

..Tunapofikiria kuhamia Dodoma tufikirie pia na kujenga mji uliopangika vizuri, na wenye sifa, vigezo, na vivutio, kama majiji mengine ktk nchi za wenzetu.

NB.

..Nikipata muda nitawatumia takwimu za idadi wa watalii wanaovutiwa na maeneo niliyoyataja hapo juu.

Mzee Mwanakijiji, Pascal Mayalla, Nguruvi3, Kiranga, Nyani Ngabu, chige, Mgambilwa ni mntu ,YEHODAYA
 
..Majengo au minara ya kifahari ni utambulisho kwa miji mikubwa na hata nchi mbalimbali.

..Nitatoa mifano michache.

..Mnara wa Eiffel ndiyo utambulisho wa jiji la Paris.

..Haiyumkini mtu anasema amefika Paris, swali atakaloulizwa ni kama aliuona mnara wa Eiffel.

..Upo mnara wa Washington ambao ndiyo kitambulisho cha jiji la Washington DC.

..Washington DC wametunga sheria maalum kwamba ktk jiji hilo ni mwiko kujenga jengo refu kushinda Washington Monument.

..minara, majengo ya kifarahari, na makumbusho yenye kuvutia, siyo kwamba yako pale kupamba muonekano wa miji husika tu, bali ni VITEGA UCHUMI vinavyoingizia serekali na wananchi mapato makubwa.

..Kwanini ni vitega uchumi? Kwasababu ya kutembelewa na watalii wengi wa ndani na nje ya nchi.

..Kutembelea minara au makumbusho huwa ni BURE. Lakini kuna biashara nyingi ndogo-ndongo na kubwa zinazohudumia mamilioni ya watalii wa ndani na nje wanaotembelea, Eiffel tower (Paris), Washington Monument(Wash DC), Statue of Liberty(New York), Buckingham Palace(London), jumba la Taj Mahal(India), etc etc.

..Ningeweza pia kutaja makumbusho mbalimbali zilizosheni nyara mbalimbali za kihistoria, kazi za sanaa, na hata kumbukumbu za kisayansi na kiutafiti.

..Hata linapokuja suala la UZALENDO, naamini minara ya kumbukumbu, na makumbusho ya kihistoria, inaweza kuwa sehemu ya kuwafundisha, na kuwajenga, vijana wetu.

..Tunapofikiria kuhamia Dodoma tufikirie pia na kujenga mji uliopangika vizuri, na wenye sifa, vigezo, na vivutio, kama majiji mengine ktk nchi za wenzetu.

NB.

..Nikipata muda nitawatumia takwimu za idadi wa watalii wanaovutiwa na maeneo niliyoyataja hapo juu.

Mzee Mwanakijiji, Pascal Mayalla, Nguruvi3, Kiranga, Nyani Ngabu, chige, Mgambilwa ni mntu ,YEHODAYA
Umeporomoka kifikra namna hii?
 
Cristo redentor

Brazil hiyo

Vitu kama hivi vinavutia kwa kweli
20170829183145.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeporomoka kifikra namna hii?

..ngoja nikupe mfano.

..Wamarekani wana mnara wa kumbukumbu ya vita vya Vietnam.

..mnara huo unatembelewa na watu milioni 3 kila mwaka.

..wengi wanapotembelea mnara huo wananunua vyakula, tshirts, wanatumia usafiri mbalimbali, wanalala kwenye mahoteli etc etc.

..kwa hiyo pamoja na kudumisha kumbukumbu ya KIZALENDO, utaona kwamba Vietnam monument inachochea AJIRA kwa maeneo ya jirani, na kutoa MAPATO kwa serekali.

..Lakini zaidi Vietnam memorial monument INAPENDEZESHA jiji la Washington DC.
 
Mbona vipo mkuu, kuna mnara wa azimio la arusha , mnara wa askari posta nk..
Usitake tusijifananishe na hao ma-giant

Ukiwa masikini kila project lazima i-make economical sense, kufanya project design ya statue of liberty kwa hizi pesa wakati zahanati na kuajiri madaktari ni shida itakuwa ujinga na ulimbukeni
Tulivyopata vijisenti kipindi cha JK tulipandisha vi-skyscraper vyetu kadhaa hapo CBD Dar, ila awamu hii tusitegemee hivyo

Pia hatukubahatika kuwa na falme kubwa za kale, wafalme wana kawaida ya kufanya kufuru ili kupata sifa za kudumu milele ndio unaona kuna vitu kama the great wall of china, pyramids nk
 
..ngoja nikupe mfano.

..Wamarekani wana mnara wa kumbukumbu ya vita vya Vietnam.

..mnara huo unatembelewa na watu milioni 3 kila mwaka.

..wengi wanapotembelea mnara huo wananunua vyakula, tshirts, wanatumia usafiri mbalimbali, wanalala kwenye mahoteli etc etc.

..kwa hiyo pamoja na kudumisha kumbukumbu ya KIZALENDO, utaona kwamba Vietnam monument inachochea AJIRA kwa maeneo ya jirani, na kutoa MAPATO kwa serekali.

..Lakini zaidi Vietnam memorial monument INAPENDEZESHA jiji la Washington DC.
Sasa unatoa mifano ya marekani, unataka kulinganisha Tanzania na USA kweli?
 
Back
Top Bottom