Hongera kwa majukumu popote ulipo!
Uchumi wa Tz kwa kiasi kikubwa unategemea au umefungamana na kilimo.
Kwa kumbukumbu zangu, niwie radhi kama nakosea, hakuna chaneli ya TV inayorusha matangazo /makala kuhusu kilimo pekee.
Je, ni kwa nini hakuna chaneli ihusuyo kilimo tu kwa lugha ya Kiswahili?
Nimekuwa nikifuatilia masuala ya kilimo kupita TV za nje.
Kwa maoni yangu, hii ni fursa kwa wadau wa media.
Na kazi njema iendelee!
Uchumi wa Tz kwa kiasi kikubwa unategemea au umefungamana na kilimo.
Kwa kumbukumbu zangu, niwie radhi kama nakosea, hakuna chaneli ya TV inayorusha matangazo /makala kuhusu kilimo pekee.
Je, ni kwa nini hakuna chaneli ihusuyo kilimo tu kwa lugha ya Kiswahili?
Nimekuwa nikifuatilia masuala ya kilimo kupita TV za nje.
Kwa maoni yangu, hii ni fursa kwa wadau wa media.
Na kazi njema iendelee!